Kampeni ya "Twende na Majaliwa 2025" imezimwa kama mshumaa

Kampeni ya "Twende na Majaliwa 2025" imezimwa kama mshumaa

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,241
Reaction score
3,800
Hii kampeni #TwendeNaMajaliwa2025# ilikuwa chini ya Ayubu na wenzake. Ilikuwa imeshaanza kuota mizizi nchini kwani viongozi wengi wa chama na jumuiya pamoja na wabunge wengi wa CCM walikuwa wameshaingia mkenge kwenye kampeni hii.

Ila maaaa weeee ghafla Hangaya amepindua meza mambo yamekuwa hovyo hovyo. Watu wamebaki midomo wazi hawaamini kinachotokea.
 
Hii kampeni #TwendeNaMajaliwa2025# ilikuwa chini ya Ayubu na wenzake. Ilikuwa imeshaanza kuota mizizi nchini kwani viongozi wengi wa chama na jumuiya pamoja na wabunge wengi wa CCM walikuwa wameshaingia mkenge kwenye kampeni hii.

Ila maaaa weeee ghafla Hangaya amepindua meza mambo yamekuwa hovyo hovyo. Watu wamebaki midomo wazi hawaamini kinachotokea.
Sasa Mama ache mambo ya ajabu maana kuna tetesi kwamba katelefon amekwenda kuomba msamaha kwa mama. Hii haikubaliki. Katelefon hana aibu. Hasa ukitilia maanani juzi tuu kafanya kikao cha siri huko kwao Lindi ili kimvuruga Mama.
Huyu ni nyoka hatakiwi kuwepo tena kwenye serikali ya Mama. Nae aende wakapange na Jobo.
 
Kikao cha lindi cha kumhujumu Mwenyekiti.Ccm bila kubadili katiba yenu chama huwa ni mali ya Mwenyekiti.
 
Nachelea kuamini kama kweli Kassim amefanya hayo....Kweli hajui nguvu ya Rais ?
 
Sasa Mama ache mambo ya ajabu maana kuna tetesi kwamba katelefon amekwenda kuomba msamaha kwa mama. Hii haikubaliki. Katelefon hana aibu. Hasa ukitilia maanani juzi tuu kafanya kikao cha siri huko kwao Lindi ili kimvuruga Mama.
Huyu ni nyoka hatakiwi kuwepo tena kwenye serikali ya Mama. Nae aende wakapange na Jobo.
Ukijiskia kuandaka unaandika, Ila mpuuzi pekee ataamini huu upuuzi
 
Achaaaa.

Wewe hujui Siasa.

Sasa hivi watu ndo wanaenda kuwa huru kuongea; Akishawaweka wote Pembeni sasa ndipo wanafanya Siasa ya Siasa kwelikweli.
 
Hii kampeni #TwendeNaMajaliwa2025# ilikuwa chini ya Ayubu na wenzake. Ilikuwa imeshaanza kuota mizizi nchini kwani viongozi wengi wa chama na jumuiya pamoja na wabunge wengi wa CCM walikuwa wameshaingia mkenge kwenye kampeni hii.

Ila maaaa weeee ghafla Hangaya amepindua meza mambo yamekuwa hovyo hovyo. Watu wamebaki midomo wazi hawaamini kinachotokea.
Bado sioni kama maza amepindua, watu wameweka grounda nzuri na wana backups za makundi zofauti, mama asipocheza karata yake kwa akili atajikuta anademka tu 2025 wakati wenzie wanapaa
 
Nachelea kuamini kama kweli Kassim amefanya hayo....Kweli hajui nguvu ya Rais ?
Kasimu hawezi, kwanza ni moja ya viongozi waoga sana tofauti na mawaziri wakuu wote waliopia, labda kama kuna mtu anamfanyia hujuma kasimu
 
Nachelea kuamini kama kweli Kassim amefanya hayo....Kweli hajui nguvu ya Rais ?
Hata kwa Ayubu ulikuwa huamini hivihivi ila mwisho wa siku umeona yaliyotokea.
 
Back
Top Bottom