The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=14189&d=1285252684
Kuna watu hawakuiona picha ya mwanzo, Wozoza kaiweka vizuri hapo chini:
Unazungumzia t-shirt na kofia, Wakati wadau wa k.koo tulichukuliwa na costa tukalamba na 7500 kila mtu. Tunangoja kula pilau na Bia tarehe 30 October. ThenHawa mashabiki wa Yanga?
CCM wanahela sana hebu fikiria hizo kofia na Tshirt zingenunua vitanda vingapi Hospitali ya Mwananyamala?
Shem Kibs rekebisha kiingereza hapo Queen akisoma atachukia sana umeharibu
Mkuu Mwafrika
Yap, kwa pesa zao wenyewe...CCM sio chama cha kilofa...
Ukiangalia huo mkono wa kulia wa huyo dada utaona kidole cha mwisho (pinky) kimetengana sana na vingine/kinavutwa, hii inaashiria movement away from the pinky kuelekea "ikulu". Na sijui kama kuna aliyeangalia vizuri macho ya huyo dada, anaonekana kufunga macho kwa hisia....labda ni kwa sababu ya mkono wa kulia wa JK.
Kwa wale ambao hii picha haionekani vizuri, someni post ya Wozoza kaiweka vizuri hapo chini:
Mkuu Mwafrika
Yap, kwa pesa zao wenyewe...CCM sio chama cha kilofa...
Kheee heee heee...ila wewe unajua unachofanya...hawajui wanachokifanya hawa
Kampeni za CCM mwaka huu noma:
1. Ukoo kwa Ukoo
2. Familia kwa Familia
3. Shuka kwa Shuka
4. Kitanda kwa Kitanda
5. NYASI KWA NYASI
Kheee heee heee...ila wewe unajua unachofanya...
Kheee heee heee...ila wewe unajua unachofanya...
Kwa wale ambao hii picha haionekani vizuri, someni post ya Wozoza kaiweka vizuri hapo chini: