very right, na ungekua unafuatilia sana humu ile thread ya Rev Kishoka ungeona kuwa nilisema the same, wote ni pros.... so tell me something i dont knowHana tofauti na Marando, wote malaya wa siasa.
kuwatazama orijino komedi, na wasani wa bongo flevaMkutano wa JK hata siku moja hauwezi kuhudhuriwa na watu chini ya 1000. Hata kama hakuna wapenzi wa CCM, bado watu watajaa kwenda kushangaa shangaa tu.
Tuletee picha ya hao watu 100.
Lori la kwanza linaingia hapa likiwa limeshona watu
Tuwekee picha mkuu
wameletwa na malori +mabasiwatu kidogo hao