analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 731
- 614
Nimehudhuria Kampeni za kikwete leo hapa Dodoma katika uwanja wa jamuhuri. Mkutano ulianza kwa wanamuziki mbali mbali kutumbuiza na wananchi wakawa wanashangilia sana.
Baada ya muda kupita Mgombea Uraisi akapanda jukwaani kwa ajili ya kuwahutubia wananchi.
Baada ya kupanda tu jukwaani na kuanza kuongea, watu walianza kutoka kwa wingi mno mpaka wakawa wanabanana milangoni, baadhi ya mageti yalikuwa yapo upande aliotazama mgombea, nikaona Askari wakiwazuia wanachi wasitoke na kufunga mageti yote yaliyombele ya kikwete hivyo wananchi kulazimika kutoka kwa kutumia mageti ya nyuma, hata hivyo bado wananchi waliendelea kutoka.
Je! hii inaashiria kuwa wananchi wanafuata burudani tu ktk mikutano ya CCM, na si Sera za chama?? Au wananchi wanaona hakuna jipya la kulisikia kutoka kwa CCM, kwani wamekuwa wakiimba wimbo huohuo lakini hali za maisha za wananchi ziko duni kili kukicha????
Pia mpaka naondoka saa kumi na mbili na nusu, alikuwa bado hajaondoka uwanjani,na miziki ilikuwa ikiendelea, hapa si ameibanjua sheria ya uchaguzi????
Baada ya muda kupita Mgombea Uraisi akapanda jukwaani kwa ajili ya kuwahutubia wananchi.
Baada ya kupanda tu jukwaani na kuanza kuongea, watu walianza kutoka kwa wingi mno mpaka wakawa wanabanana milangoni, baadhi ya mageti yalikuwa yapo upande aliotazama mgombea, nikaona Askari wakiwazuia wanachi wasitoke na kufunga mageti yote yaliyombele ya kikwete hivyo wananchi kulazimika kutoka kwa kutumia mageti ya nyuma, hata hivyo bado wananchi waliendelea kutoka.
Je! hii inaashiria kuwa wananchi wanafuata burudani tu ktk mikutano ya CCM, na si Sera za chama?? Au wananchi wanaona hakuna jipya la kulisikia kutoka kwa CCM, kwani wamekuwa wakiimba wimbo huohuo lakini hali za maisha za wananchi ziko duni kili kukicha????
Pia mpaka naondoka saa kumi na mbili na nusu, alikuwa bado hajaondoka uwanjani,na miziki ilikuwa ikiendelea, hapa si ameibanjua sheria ya uchaguzi????