johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuhusu Ushindi sisi CCM Hatuna mashaka kwa sababu tunaingia uchaguzini tukiwa na Ushindi wa 62% kibindoni
Tunaimba Mungu wa mbinguni atufanyie Wepesi hizo 38% zilizobaki nazo atupe zote kwa ajili ya Maendeleo ya taifa hili
Chadema jifunzeni kwanza Uongozi kwenye Biblia Takatifu na hasa Juu ya Farao aliyemjua Yusuf Mwanzo 41:41 na Farao asiyemjua Yusuf Kutoka 14:14
JK aliwakaribisha Bungeni na Shujaa akawatimua Bungeni, bado hamjakomaa
Nawatakia Uchaguzi wenye Baraka 🌹
Tunaimba Mungu wa mbinguni atufanyie Wepesi hizo 38% zilizobaki nazo atupe zote kwa ajili ya Maendeleo ya taifa hili
Chadema jifunzeni kwanza Uongozi kwenye Biblia Takatifu na hasa Juu ya Farao aliyemjua Yusuf Mwanzo 41:41 na Farao asiyemjua Yusuf Kutoka 14:14
JK aliwakaribisha Bungeni na Shujaa akawatimua Bungeni, bado hamjakomaa
Nawatakia Uchaguzi wenye Baraka 🌹