LGE2024 Kampeni zimeisha na wagombea tumewasikiliza tunamwomba Mungu wa mbinguni atupe Uchaguzi Huru na wa Haki!

LGE2024 Kampeni zimeisha na wagombea tumewasikiliza tunamwomba Mungu wa mbinguni atupe Uchaguzi Huru na wa Haki!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuhusu Ushindi sisi CCM Hatuna mashaka kwa sababu tunaingia uchaguzini tukiwa na Ushindi wa 62% kibindoni

Tunaimba Mungu wa mbinguni atufanyie Wepesi hizo 38% zilizobaki nazo atupe zote kwa ajili ya Maendeleo ya taifa hili

Chadema jifunzeni kwanza Uongozi kwenye Biblia Takatifu na hasa Juu ya Farao aliyemjua Yusuf Mwanzo 41:41 na Farao asiyemjua Yusuf Kutoka 14:14

JK aliwakaribisha Bungeni na Shujaa akawatimua Bungeni, bado hamjakomaa

Nawatakia Uchaguzi wenye Baraka 🌹
 
Back
Top Bottom