Engineer Mujuni Edson
Member
- Sep 5, 2017
- 19
- 25
Wadao heshima yenu wakuu, naomba mnisaidie kupata mwanga juu ya swala Hilo, nmenunua kiwanja mwaka 2020 Kwa installments kwenye kampuni binafsi na nilikuwa nalipa Kashi pesa mkononi napewa risit za kuandikiwa na afisa masoko wa kampuni hiyo.
Baada ya kukamilisha malipo nilifatilia kupata Hati lakini walinisumbua sana wakachukuwa lisit zangu kuwa wanaenda kuziunganisha na documents nyingine Kwa ajili ya hati (nikazitoa kopi nikawapa hizo OG walizozitaka) usumbufu ulivyozidi nikafatilia Halimashauri mpaka nikaenda mwenyewe Halimashauri nikakamilisha taratibu zote.Nikafata Hati Wizarani.
Nmejenga na nyumba ipo kwenye linta
VIOJA VYAO
Hivi Sasa Kila kukicha Mkurugenzi wa kampuni hiyo anapiga simu akidai wameongea na KAMISHINA wataandika barua Hati yangu itafutwa Kwa sababu Afsa masoko akufikisha pesa Kwenye akaunti ya kampuni mara documents alifoji wanadai alinitapeli.
Afsa masoko yupo kampuni nyingine na anakili kuwa pesa haikufika lakini atailipa kampuni hiyo ya viwanja taratibu ila documents zote anadai ni sawa.
Kampuni hiyo ya viwanja wamekataa wananambia nisubir kufutiwa hati miliki ya wizara.
Naomba msaada wa kisheria nifate hatua Gani??
Natanguliza shukrani
Baada ya kukamilisha malipo nilifatilia kupata Hati lakini walinisumbua sana wakachukuwa lisit zangu kuwa wanaenda kuziunganisha na documents nyingine Kwa ajili ya hati (nikazitoa kopi nikawapa hizo OG walizozitaka) usumbufu ulivyozidi nikafatilia Halimashauri mpaka nikaenda mwenyewe Halimashauri nikakamilisha taratibu zote.Nikafata Hati Wizarani.
Nmejenga na nyumba ipo kwenye linta
VIOJA VYAO
Hivi Sasa Kila kukicha Mkurugenzi wa kampuni hiyo anapiga simu akidai wameongea na KAMISHINA wataandika barua Hati yangu itafutwa Kwa sababu Afsa masoko akufikisha pesa Kwenye akaunti ya kampuni mara documents alifoji wanadai alinitapeli.
Afsa masoko yupo kampuni nyingine na anakili kuwa pesa haikufika lakini atailipa kampuni hiyo ya viwanja taratibu ila documents zote anadai ni sawa.
Kampuni hiyo ya viwanja wamekataa wananambia nisubir kufutiwa hati miliki ya wizara.
Naomba msaada wa kisheria nifate hatua Gani??
Natanguliza shukrani