Wewe ni jaji wa wapi unashindwa kutumia neno competent na competenceHuduma Nzuri wakili msomi,Sisi majaji ndio tunajua mawakili competence hata wanavyofanya submissions zao!
F.K ni Faizal Bojan na si Fungamtama
Ndiyo maana Paw alikukataza kunywa Konyagi bapa, sasa hivi namwelewa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mimi almanusra nikuote. Miss you sanaKwani hawajakuzimia Simu na wewe? Manake umezidi uchokozi.
Afu kwa mbaaali Kama nimekumisi vile.
Hawa mawakili wa sikuhizi sijui wanajifunza ujinga shule hajui kama ni unethical kufanya matangazo??bas utakuta kanafanya intern FB.umelipia hili tangazo?