Kampuni gani ina kuku wazuri wa mayai ya kisasa?

Kampuni gani ina kuku wazuri wa mayai ya kisasa?

chaArusha

Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
88
Reaction score
31
Wakuu, napenda sana ufugaji kwa sababu ninajua unaweza kunitoa. Nimejaribu kufuga kama 300 kutoka kampuni fulani lakini hawatagi vizuri. Wana miezi saba na zaidi kidogo lakini napata trei 4 tu kwa siku, nahisi aina ya kuku siyo nzuri. Naombeni mnijuze kuku wa kampuni gani ni wazuri au mimi nilikosea katika kufuga?
Nawakilisha
 
Wakuu, napenda sana ufugaji kwa sababu ninajua unaweza kunitoa. Nimejaribu kufuga kama 300 kutoka kampuni fulani lakini hawatagi vizuri. Wana miezi saba na zaidi kidogo lakini napata trei 4 tu kwa siku, nahisi aina ya kuku siyo nzuri. Naombeni mnijuze kuku wa kampuni gani ni wazuri au mimi nilikosea katika kufuga?
Nawakilisha

Katika ufugaji wa kuku kuna key factors ambazo ukikosea tu,utapata hasara sanaa;

1.Vifaranga Bora (already vaccinated with Mareks)
2.Banda Bora lenye ubora (both LX and BX)
3.Chakula bora cha kulishia
4.Best Management

Hacheni kufuga bila utaalamu,kuku wanalipa sanaa.

Tuwasiliane kwenye no 0717332652
 
Mkuu second niambie mpwa
ungemwaga ujuzi wako kwa jamvi lingesaidia kweli vyema kupiga tutapiga ila ungelezea kama mhusika anayoitaji ....usione mtu kaweza kuchat huku mpwa bundle leyenyewe shuguli usisikie vocha
 
Katika ufugaji wa kuku kuna key factors ambazo ukikosea tu,utapata hasara sanaa;

1.Vifaranga Bora (already vaccinated with Mareks)
2.Banda Bora lenye ubora (both LX and BX)
3.Chakula bora cha kulishia
4.Best Management

Hacheni kufuga bila utaalamu,kuku wanalipa sanaa.

Tuwasiliane kwenye no 0717332652
tudadavulie kaka ufugaji wa kitaalamu wote tunasubiri ujuzi tupate mafanikio. tuelezee kaka
 
Wadau,kwa yeyote ambaye angependa kupata training toka CPF,kampuni bora ya vyakula vya kuku,just email me to deograts@gmail.com. Then nitapanga training for all,Good thing with this company,they have doctors ambao wanakutembelea pindi upatapo tatizo lolote kama utakuwa unafuga vifaranga vyao na unatumia chakula chao


WELLCOME TO CPF TANZANIA LIMITED MKOMBOZI WA WAFUGAJI WA KUKU TANZANIA.


Contact: 0717332652
 
Back
Top Bottom