Bati gauge 30 sio nyepesi sana mkuu?
Unaweza kuchukua zile za kawaida lakini zenye rangi. Namaanisha haziba migongo mipana wala mbwembwe na urembo.
Alaf wana aina tofauti tofauti unaweza kuwatembelea ukapata ushauri. Majina yasikutishe sana.
Sun share (sijui kama nimepatia jina nao sio wabaya)
Sina uadui na Kiboko ila mabati yao yalikua na tabia ya kupauka mapema sana. Kama wameboresha unaweza kuwaona.
Cha msingi ukishapata ushauri hapa, jaribu kutembelea mwenyewe ujihakikishie.
Hingera na nikutakie kila la kheri mkuu.
Unamaanisha bati za migongo midogo za rangi ?
Tumia Nyeupe Baadaye Huko Utapaka RangiUnamaansh/kushauri ntumie nyeupe tuu za (kiboko)
Tafuta Uzi wangu niliobandika jukwa hili.Hbr membr of flow
Sasa nimeamua kujipang kuezeka kikabwela natak kutumia bati za kawaida (sio wakina alafi wala sunShare)
Wajenz / wataalamu na wazoefu naomben ushauri katk swala la mabati kuna viwand/kampun hiz ndogo za mabati ni kampun gan inabat zuri na ni rangi ipi haipauji haraka
NB namaansh bati za bei 22000 had 26000 kwa GEJI 30 kama
Superlife
Batibomba n.k
Natangulz shukran nkisubr majb yenu?
Nyeupe unapaka rangi mwenyeweTumia Nyeupe Baadaye Huko Utapaka Rangi
Hizi Za Rangi Nyingine Unawakuta Watu Wenye Compressor Wanapuliza Halafu Bei Unapigwa Ndefu Zinapauka
Ndiyo Tena Bila KarahaNyeupe unapaka rangi mwenyewe
UVIMO tukiwa wazoefu katika maswala mazima ya ujenzi na upauaji,Hbr membr of flow.
Sasa nimeamua kujipang kuezeka kikabwela natak kutumia bati za kawaida (sio wakina alafi wala sunShare)
Wajenz / wataalamu na wazoefu naomben ushauri katk swala la mabati kuna viwand/kampun hiz ndogo za mabati ni kampun gan inabat zuri na ni rangi ipi haipauji haraka.
NB namaansh bati za bei 22000 had 26000 kwa GEJI 30 kama Superlife
Batibomba n.k
Natangulz shukran nkisubr majb yenu?