Kampuni gani ya bima ni nzuri hapa nchini Tanzania?

Ndikusyaganya

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
216
Reaction score
119
Habari wana jamvi? mwana jamvi mwenzenu natamani kujua kuhusu biashara ya BIMA, kama Agent au Broker, lakini kwa kuanza kua kama Agent( Wakala) natamani kujua kama kuna mtaalamu wa mambo ya BIMA anijuze kua ni kampuni gani inafaa kwa mtu anae take kua wakala, na je ulipaji wao ukoje ? na kwa sifa gani kampuni tajwa inafaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…