Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Kampuni hii ni maarufu kwa jina la 'Alovera' ni kampuni yenye mameneja wengi kuliko kampuni yeyote nchini.
Ni kampuni nzuri kwa kusocialize huku una make money. Ni sehemu nzuri pia kwa kuuzia sura. Kwa wale ambao hawakufanikiwa kupata vyeo huko walipo hapa ni mahali pazuri pa kuupatia umeneja na kuweka CV yako vizuri. Hii ni mahali muafaka hasa kwa wale wenye elimu ndogo. Yapo mapungufu mengi kwenye hii kampuni but I dont want to dwell on that side kwa leo, ila moja kati ya hilo ni kuwa sijaweza kupima kiwango cha mafanikio cha 'mameneja' hao wa kampuni hii kama kweli hii biashara inaweza kukufanya ujenge nyumba, ununue gari kusomesha watoto n.k
Mtazamo wangu wa sasa naichukulia kampuni hii kama sehemu ya 'Kula na Kunywa' Mwenye wawazo tofauti na mimi anakaribishwa kuchangia humu jamvini. Sio mbaya ukitupia nyumba na magari ya wanachama ambayo wamenunua kutokana na biashara hii.
Ni kampuni nzuri kwa kusocialize huku una make money. Ni sehemu nzuri pia kwa kuuzia sura. Kwa wale ambao hawakufanikiwa kupata vyeo huko walipo hapa ni mahali pazuri pa kuupatia umeneja na kuweka CV yako vizuri. Hii ni mahali muafaka hasa kwa wale wenye elimu ndogo. Yapo mapungufu mengi kwenye hii kampuni but I dont want to dwell on that side kwa leo, ila moja kati ya hilo ni kuwa sijaweza kupima kiwango cha mafanikio cha 'mameneja' hao wa kampuni hii kama kweli hii biashara inaweza kukufanya ujenge nyumba, ununue gari kusomesha watoto n.k
Mtazamo wangu wa sasa naichukulia kampuni hii kama sehemu ya 'Kula na Kunywa' Mwenye wawazo tofauti na mimi anakaribishwa kuchangia humu jamvini. Sio mbaya ukitupia nyumba na magari ya wanachama ambayo wamenunua kutokana na biashara hii.