mimi huwa sishindi huko,mimi nazurula jf nzima.Hehehe nakuona leo umekimbia nyuzi za siasa za Watz kule...... Hivi hizo simu huwa mnazitia chaji pale Lumumba au wapi.
mimi huwa sishindi huko,mimi nazurula jf nzima.
umeme ni uhakika tz,nacharge popote,sio huko kwenu shida tupu.
hata simu tumepewa,na vocha tunawekewa[emoji1][emoji1].Kwa namna huwa unamjibu kila mtu lazima muwe mnapewa power bank hapo Lumumba maana Dar umeme ni kero kila siku
hata simu tumepewa,na vocha tunawekewa[emoji1][emoji1].
hapo lumumba umepajua wewe mkenya mimi mtz sipajui.
Huna akili ,nanukuu tuHehehe wewe mkali yaani masaa 24 upo, huyo Polepole hakukosea kukuajiria Lumumba, nilikuaga alasiri jana nikaenda shughuli zangu kuja saa nane usiku mida ya wanga nakukuta haujapumzika....hehehe nimekukubali balaa, sasa ungejituma hivyo kwa shughuli za kuzalisha kiuchumi mngekua mbali.
Sasa mumeishia kuahidiana tu 2021 tumefika wapi kwenye lengo la kutengeneza mabilionea 1,000 ambao Rais anataka wapatikane?
wewe unajua hali yangu[emoji38][emoji38][emoji38]Hehehe wewe mkali yaani masaa 24 upo, huyo Polepole hakukosea kukuajiria Lumumba, nilikuaga alasiri jana nikaenda shughuli zangu kuja saa nane usiku mida ya wanga nakukuta haujapumzika....hehehe nimekukubali balaa, sasa ungejituma hivyo kwa shughuli za kuzalisha kiuchumi mngekua mbali.
Sasa mumeishia kuahidiana tu 2021 tumefika wapi kwenye lengo la kutengeneza mabilionea 1,000 ambao Rais anataka wapatikane?
Siku hizi unaniogopa sasa. Ukiona comments zangu tunaanza kutetemeka.Hehehe wewe mkali yaani masaa 24 upo, huyo Polepole hakukosea kukuajiria Lumumba, nilikuaga alasiri jana nikaenda shughuli zangu kuja saa nane usiku mida ya wanga nakukuta haujapumzika....hehehe nimekukubali balaa, sasa ungejituma hivyo kwa shughuli za kuzalisha kiuchumi mngekua mbali.
Sasa mumeishia kuahidiana tu 2021 tumefika wapi kwenye lengo la kutengeneza mabilionea 1,000 ambao Rais anataka wapatikane?
[emoji38][emoji38][emoji38]hilo hawawezi kujua hawa jua kali wa kibera.Siku hizi unaniogopa sasa. Ukiona comments zangu tunaanza kutetemeka.
Mpaka ndani ya ikulu yenu tumo.
Muulize Kagame atakupa stories.