Kampuni moja ya simu kupitia wafanyakazi wake wa hack simu ya sugu.....

naona magamba wanabwabwaja kuwa hatujui kingeredha...wao ndio chanzo cha yote haya...
 

Sasa kama hajui Kiingereza kwanini hapo alitumia Kiingereza, mimi naona si vyema kwa mheshimiwa kwenda katika majukwaa yanayosomwa dunia nzima kuandika lugha asyoijuwa vuzuri. Au na Kiswahili hakijui?

Wenzake huwa wanatafuta wakalimani.
 
Inasemekana Aliishi Ulaya na Marekani sasa sijui alikuwa shamba boy maana inawezekana hakuwa na nafasi ya kuonana na watu ndio maana hakunufaika ni uko kuishi ulaya.

Si kila mtanzania aliyeishi/anayeishi Ulaya au nchi zinazotumia Kiingereza kama lugha mama anafahamu lugha hiyo..kumbuka kufahamu lugha fulani kiufasaha ni mpaka mtu huyo awe na "interest" ya kuitaka kuifahamu. wengine wakishajua "basic English" inayoleta maana katika ujumbe uliokusudiwa inatosha kabisa kwao. na kujifunza lugha ngeni ukubwani ni kitu kigumu sana kama hufahamu.
 
inasemekana aliishi ulaya na marekani sasa sijui alikuwa shamba boy maana inawezekana hakuwa na nafasi ya kuonana na watu ndio maana hakunufaika ni uko kuishi ulaya.

kuishi ulaya sio sababu ya kujua kiingereza mbona kuna wazungu kibao wanaishi tanzania na hawajui kiswahili??
Zaidi ya salamu na basic.. Tu
 
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.

Hebu msahihishe alivyopaswa kuandika. Nahisi ungefaa kuwa PS wake.
 
sugu sasa akue aache kuhangaika kushare his strategies kwenye social media na afanye kwweli

atafute audience na dr salim kwa lessons learnt
 
Hiyo kijana ni typing mistake na si kutokujuwa, tazama i na u ziko wapi kwenye keyboard, lakini umesoma ya Mheshimiwa huko juu?
Hahaha! Na mie nimefurahi kukusahihisha manake wewe huwa unatupatia sana!..

Ya Mh nimeyasoma ameandika ki bongo fleva hivyo msamehe bure mama mpendwa..
 
JF bwana mada ilikuwa sugu wamehack simu yake mara tumeamia jukwaa la Lugha...

JF raha tupu..
 
Daah halafu Kiingereza cha mbunge hicho? Si angeandika Kiswahili tu. Aibu tupu kuwa na wabunge sampuli hii.

dr.mkwer.e kutoka bagamoyo kichwa nazi mbona kingeleza chake hakijasaidia kupunguza achilia mbali kuondoa mdororo wa uchumi..acha bange ya chooni mtu mzima wewe.kuwa na mama wa aina yako familia itakua ya kipuuzi kama uongozi wa sharobaro mrisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…