wapendwa watanzania wenzangu mnaotafuta kazi kwa udi na uvumba
suluhisho lenu limekuja sasa ,tuma cv na barua yako patakazi2012@gmail.com,tutakujibu mara moja n
na ninakuhakikishia utapata ajira kirahisi sana bila kuchangia fharama zozote
ahsanteni
george james
Nashukuru kwa simu kesho nitakuja ofisini kwenu,mko faster;;;
TUNAKUSHUKURU DADA sUZAN KAMA TULIVYOONGEA TUTAONANA KESHO,WATANZANIA WOTE SEHEMU YOYOTE ULIYOPO TUNAKUKARIBISHA SIO LAZIMA UJE DAR-ES-SALAAM ,TUTAKUFANYIA INTERVIEW KWA KUTUMIA SKYPE ,UNACHOTAKIWA KUFANYA WEWE NI KUTUMA CV YAKO KWETU SISI TUTAWASILIANA NAWE NA KAMA UKO NJE YA DAR TUTAKUINTERVIEW HUKO ULIPO NA KUPELEKA CV YAKO KWA WATEJA WETU NA WEWE UTAPATA AJIRA MARA MOJA
Karibuni nyote
Nyie wachaga
wapuuzi kweli kweli! Yaani mmenichekesha nusura nifunje mbafu zangu.
Juha wa Kwanza anatangaza kazi zisizojulikana, anajifanya bonge la agent
na kwamba very quick in response.
Juha wa pili anajifanya ametuma CV (16:52) halafu dakika 1 tu inayofuata
(16:53) tayari ameshapigiwa simu kwa hiyo anshukuru. Hivi hata kama
ndio ujanja ujanja, mbona msitumie akili hata kidogo?
Recruitment Agent na e-mail ya gugo kweli?!
Labda nimiulizeni tu, hizo CV za watu mnataka kuzifanyia nini
jamini?
yan HAO NI WEZ NA MATAPEL WAKUBWA WALIANZA FB SASA WAMEKUJA JF..
TUNAKUSHUKURU DADA sUZAN KAMA TULIVYOONGEA TUTAONANA KESHO,WATANZANIA WOTE SEHEMU YOYOTE ULIYOPO TUNAKUKARIBISHA SIO LAZIMA UJE DAR-ES-SALAAM ,TUTAKUFANYIA INTERVIEW KWA KUTUMIA SKYPE ,UNACHOTAKIWA KUFANYA WEWE NI KUTUMA CV YAKO KWETU SISI TUTAWASILIANA NAWE NA KAMA UKO NJE YA DAR TUTAKUINTERVIEW HUKO ULIPO NA KUPELEKA CV YAKO KWA WATEJA WETU NA WEWE UTAPATA AJIRA MARA MOJA
Karibuni nyote
mboni ujataja hiyo ofisi ipo wapi au ndio wale maajenti tokea china..
Hamna tapeli hapa, matapeli ni watu na akili zao, hawa njaa imewauma sana kiasi wamekurupuka bila aibu wala kufikiri.
Me nimeshawatumia jamani nitafutieni kazi pliz.