Kampuni ya Apple ina mpango wa kuanza kuunda autonomous electric vehicles (A-EVs) na kuwa barabarani 2027

Kampuni ya Apple ina mpango wa kuanza kuunda autonomous electric vehicles (A-EVs) na kuwa barabarani 2027

babu M

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
5,222
Reaction score
3,173
Kampuni ya Apple ina mpango wa kuingia ubia na Kampuni ya Hyundai ya South Korea. Kuanza kutengeneza magari ya umeme yanayojiendesha bila dereva.

Lakini Apple pia bado ipo kwenye mazungumzo na makampuni mengine ya magari jinsi inaweza kuingia ubia nao!

Hii ni big blow kwa kampuni kubwa ya magari duniani kwa thamani(Mcap) Tesla. Ambayo share yake imepanda kutoka $190 mwanzoni mwa mwaka jana mpaka zaidi ya $4000( without split) sasa hivi na kumfanya Elon Musk kuwa tajiri mkubwa wa kwanza.

Tesla imepata umaarufu kutoka na technologia yao ya betri ambayo Apple wapo keen kuja na technologia yao tofauti!

Uhamuzi huu wa Apple umechangia thamani ya hisa za kampuni ya Hyundai kuongezeka kwa asilimia 25 kabla ya stock market kufungwa Friday!!
 
Kama wataungana na Hyundai. Sidhani kama yatakuwa ghali lakini kama ni Germany company itakuwa bei ghali.

Vyovyote vile, bei za magari siku zijazo zitashuka sana kutoka na technologia kubadilika hasa kwenye production na makampuni mengi kujiingiza kwenye magari. Mfano kampuni ya hoover(Dyson), kampuni ya kemikali(Ineos) zinaanza kutengeneza magari. Ushindani utakuwa mkubwa ambao utachangia kushuka kwa bei!!
 
Hivi inawezekana mtu ukawa bongo ukanunua hisa za makampuni ya huko? Just imagine kama mwaka Jana mtu alinunua hisa huko Tesla kwa $190, then leo hii ndio inajiboast huko $4,000.
Uwezekano upo Mkuu watu mbona wamenunua wengi tu.

Pia kuna Kampuni moja ya kichina inaitwa NIO ambayo ndio naona inakuja kuwa mtu wa pili baada ya Tesla nayo ni ya kuiangalia hyo.
 
Alieanza ameanza tu

Kumshusha Elon. Hawataweza

So yule pale Jeff bazos alikuja na blue origin ili aishushe SpaceX

Appleb wajikite kwenye simu na kompyuta

Hiwezi kuwa master wa Kila kitu
 
Uwezekano upo Mkuu watu mbona wamenunua wengi tu...
This is another new company the SP went crazy! NIO kutoka $2.5 mpaka sasa hivi $58!

Lakini sasa hivi kununua share kwenye hizi kampuzi kama Tesla ni very risk! Personally I think they are very overpriced!!

Mfano market cap ya Tesla = Toyota + BWM + Land Rover + Ford + Ferrari + Renault + Nissan + .....

Halafu Angalia sales ya toyota na bmw linganisha na Tesla!!
 
Sure Mkuu NIO anakuja kwa kasi yake nae mwaka jana amefanya makubwa sana.

Hizo kampuni nyingine zitasubiri sana maana Tesla hata production yake bado ni ndogo sana lakini Market Cap ni kubwa sana yawezekana wakawa overpriced pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alieanza ameanza tu

Kumshusha Elon. Hawataweza

So yule pale Jeff bazos alikuja na blue origin ili aishushe SpaceX

Appleb wajikite kwenye simu na kompyuta

Hiwezi kuwa master wa Kila kitu
Samsung pia wanatengeneza gari za umeme wakishirikiana na Co. Ya magari ya Renault.
 
Alieanza ameanza tu

Kumshusha Elon. Hawataweza

So yule pale Jeff bazos alikuja na blue origin ili aishushe SpaceX

Appleb wajikite kwenye simu na kompyuta

kuwa master wa Kila kitu
Tesla is well overpriced. Current share price is insane!
Elon ni kama Trump! Ni kama cult leaders!
Wana wafuasi ambao wapo tayari kwa lolote. Tesla ina shareholders ambao wanamsujudu Elon hata kuweka capitals zao at risk! Shorters wamejaribu hii kampuni kwa miaka mingi lakini ni mpaka mwaka jana ndio walipa chance ya ku offload their “sell positions”!
Hii kampuni mpaka end 2019 ilikuwa inalamba hasara kila mwaka.
Tesla sasa hivi ina income ya $500 milioni na Toyota ina income ya karibia $14 bilioni. Wakati thamani ya kampuni ya Tesla ni mara 4 ya kampuni ya Toyota na mara 14 ya BWM. Go figure!
 
Alieanza ameanza tu

Kumshusha Elon. Hawataweza

So yule pale Jeff bazos alikuja na blue origin ili aishushe SpaceX

Appleb wajikite kwenye simu na kompyuta

Hiwezi kuwa master wa Kila kitu
Umewaza kitanzania sana yani

Like miaka kadhaa nyuma ungesema Mond aache kuwwekeza kwenye Media Industry awaachie kina Ruge yeye wake ni mziki It Sound Primitive.

Hakuna mmiliki wa Sector fulani Duniani
 
So yule pale Jeff bazos alikuja na blue origin ili aishushe SpaceX
Mkuu jeff alianza na blue origin even kabla ya elon musk kupata mtaji wa kuanzisha spacex.
Spacex imeanza 2 years baada ya blue origin.

Alafu kuanzisha company ili uishushe company nyingine ni matumizi mabovu ya pesa na akili pia rasilimali.
Hawa wanaanzisha company kama kuna soko kubwa na faida kubwa huwa hawaendi kichwakichwa.

Na sio kushushana kama diamond na harmonize wanavyotoa nyimbo hovyo ili washushane kimashabiki na kick.
 
Sure Mkuu NIO anakuja kwa kasi yake nae mwaka jana amefanya makubwa sana.

Hizo kampuni nyingine zitasubiri sana maana Tesla hata production yake bado ni ndogo sana lakini Market Cap ni kubwa sana yawezekana wakawa overpriced pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata NIO the share price value is madness, Overpriced.
Na bado inalamba hasara pamoja na kuji position vizuri kwenye production. Mwaka jana walilamba hasara ya dola bilioni moja na ushee! Mwaka huu vile vile wanalamba hasara!
Halafu betri technologia yao bado sio nzuri!
Vile vile makampuni kama Mercedes, Renault na Peugeot(Groupe PSA) walifanya mistake kutojiingiza kwenye electric na self driving mapema. Sasa wametambua makosa yao and they are in full force!!
 
Mi nataka nigundue mayai ya kuku wa kienyeji kuliwa na kachumbari
 
Huu uzi ni pesa ... knowledge for free

INVESTING... INVESTING ...INVESTING
 
Hata NIO the share price value is madness, Overpriced.
Na bado inalamba hasara pamoja na kuji position vizuri kwenye production. Mwaka jana walilamba hasara ya dola bilioni moja na ushee! Mwaka huu vile vile wanalamba hasara!
Halafu betri technologia yao bado sio nzuri!
Vile vile makampuni kama Mercedes, Renault na Peugeot(Groupe PSA) walifanya mistake kutojiingiza kwenye electric na self driving mapema. Sasa wametambua makosa yao and they are in full force!!
Yeah nakubaliana na wewe Mkuu hzo kampuni ziko overpriced.
Pia hayo makampuni kongwe kuchelewa kwenda na wakati na sasa hivi ndio wanaanza kuhangaika kupita walikopita wenzao kitambo kidogo.
 
Kampuni ya Apple ina mpango wa kuingia ubia na Kampuni ya Hyundai ya South Korea. Kuanza kutengeneza magari ya umeme yanayojiendesha bila dereva.

Lakini Apple pia bado ipo kwenye mazungumzo na makampuni mengine ya magari jinsi inaweza kuingia ubia nao!

Hii ni big blow kwa kampuni kubwa ya magari duniani kwa thamani(Mcap) Tesla. Ambayo share yake imepanda kutoka $190 mwanzoni mwa mwaka jana mpaka zaidi ya $4000( without split) sasa hivi na kumfanya Elon Musk kuwa tajiri mkubwa wa kwanza.

Tesla imepata umaarufu kutoka na technologia yao ya betri ambayo Apple wapo keen kuja na technologia yao tofauti!

Uhamuzi huu wa Apple umechangia thamani ya hisa za kampuni ya Hyundai kuongezeka kwa asilimia 25 kabla ya stock market kufungwa Friday!!
Matajiri wanaangalia hii kama fursa, watu wenye jicho la 3 hii ni investment nzuri, anawekeza hapa kwa miaka 40 ijayo, ananunua hisa zake anatulia.
 
Tesla is well overpriced. Current share price is insane!
Elon ni kama Trump! Ni kama cult leaders!
Wana wafuasi ambao wapo tayari kwa lolote. Tesla ina shareholders ambao wanamsujudu Elon hata kuweka capitals zao at risk! Shorters wamejaribu hii kampuni kwa miaka mingi lakini ni mpaka mwaka jana ndio walipa chance ya ku offload their “sell positions”!
Hii kampuni mpaka end 2019 ilikuwa inalamba hasara kila mwaka.
Tesla sasa hivi ina income ya $500 milioni na Toyota ina income ya karibia $14 bilioni. Wakati thamani ya kampuni ya Tesla ni mara 4 ya kampuni ya Toyota na mara 14 ya BWM. Go figure!
Tesla's future is promising .

Tuneelekea dunia ya matumjzj ya gari za umeme nobody will give a damn about Gas cars

Hio Toyota yako inaweza baki jina

Miaka 10 Hadi 15 ijayo utaelewa nachuambia

Kila Zama na kitabu
 
Back
Top Bottom