Rwanda ni nchi ya milima na mabonde,ndiyo maana wanang'ang'ania Congo mashariki wapate pa kulima,nchi yenyewe ukubwa wake ni nusu ya mkoa wa tabora,hayo maeneo ya kulima mahindi,mpunga,mananasi,machungwa nk wanatoa wapi!?..Kalia ujinga wako huohuo nenda kaangalie mashamba ya matunda huko ujifunze
View attachment 2513037
View attachment 2513038
Unaona wanyarwanda hao wasafi hatari na bidhaa zao bora juice ya embe sio nzito kama matope mfano wa ile ya azam hao inyange bidhaa zao ni bora Tanzania hatuwafikii
Ila wanyarwanda, mnajua kuipambania nchi yenu, mfano hapa, juice za makampuni mengine hujuaona, unatuwekea za kinywara.View attachment 2513037
View attachment 2513038
Unaona wanyarwanda hao wasafi hatari na bidhaa zao bora juice ya embe sio nzito kama matope mfano wa ile ya azam hao inyange bidhaa zao ni bora Tanzania hatuwafikii
Kwann tena DEMBAraraa reree huna baya mkuu. Uishi miaka mingi๐๐
Ndio ukiwa pale mwandege ni hatari sana inanuka kama mavi na maembe kwa kunuka soo,sema huwa wanayachemsha sana kabla ya kuyasindikaKweli Kampuni hii imejipambanua katika kuzalisha vyakula kwa matumizi ya binadamu ulimwenguni.Wakati nikiwa Uholanzi/Amsterdam niliweza kukutana na bidhaa km unga, biscuits nk zenye nembo ya Azam/Bakhresa Tz.Nilifurahi na kupongeza juhudi za mwekezaji mzawa.
Tofauti na nilivyotarajia kuona nikiwa hapa Tanzania ni kuona usafirishaji, upokeaji na huifadhi wa malighafi ya matunda km maembe, machungwa nanasi, ukwaju nk hapo Kiwandani Mwandege Wilaya ya Mkuranga.
Shehena za matunda zinaozea kwenye magari yangojeao kuingia ndani. Harufu mbaya, mainzi, mafunza yametapakaa. Yanatia kinyaa sana. Hali hii inahatarisha afya za walaji. Kwa machache boredsha huduma zenu
Kwann DEMBA ๐Unaonekana ni mtu poa tu...
Kuna matendo gani humu zaidi ya kuandika bla bla bla tu muda uende ๐Matendo yako humu jf no makuu๐๐
Barikiwa sana
ni kweli kama ni hivyo asipuuzie ushauri huu hata kidogo. uzi huu umenipa faraja kidogo kwamba kumbe kweli wanatumia matunda og kuzalisha hizo bidhaa zao maana kuna uzi niliona humu juzi tu unashutumu azam kwa kudanganya kwamba anatumia matunda og, kumbe anatumia flavours tuKweli Kampuni hii imejipambanua katika kuzalisha vyakula kwa matumizi ya binadamu ulimwenguni.Wakati nikiwa Uholanzi/Amsterdam niliweza kukutana na bidhaa km unga, biscuits nk zenye nembo ya Azam/Bakhresa Tz.Nilifurahi na kupongeza juhudi za mwekezaji mzawa.
Tofauti na nilivyotarajia kuona nikiwa hapa Tanzania ni kuona usafirishaji, upokeaji na uhifadhi wa malighafi ya matunda km maembe, machungwa nanasi, ukwaju nk hapo Kiwandani Mwandege Wilaya ya Mkuranga.
Shehena za matunda zinaozea kwenye magari yangojeao kuingia ndani. Harufu mbaya, mainzi, mafunza yametapakaa. Yanatia kinyaa sana. Hali hii inahatarisha afya za walaji. Kwa machache boredsha huduma zenu
Nilidhani ni mashine maana ikiamua kupiga bakola za Like anagawa kwa wote muda wowote...raraa reree huna baya mkuu. Uishi miaka mingi๐๐
Anatoa likes kwa wote Hana mbambambaNilidhani ni mashine maana ikiamua kupiga bakola za Like anagawa kwa wote muda wowote...
Wewe chizi kweli, Leta picha ya juisi ya Azam ikiwa chafuView attachment 2513037
View attachment 2513038
Unaona wanyarwanda hao wasafi hatari na bidhaa zao bora juice ya embe sio nzito kama matope mfano wa ile ya azam hao inyange bidhaa zao ni bora Tanzania hatuwafikii