Kampuni ya basi la Shabiby, hii ni hatari sana kwa abiria wenu

Ngumu kumesa!!.Wakati udhalilishaji huu wote uliousema hapa ukitendewa,huyo mkeo alishindwa kuthibitisha kuwa wewe ni mumewe na unamletea hela?.
Afu udhalilishaji wenyewe mdogo sana. Mimi nilishawahi kurushwa dirishani kwenye bombardier ikiwa ishapaa angani. Na sijawahi kulalamika...
 
Itoshe tu kusema wewe ni mshamba mkuu, kila sehemu ina utaratibu wake unatakiwa kuufuata sio unaleta wako tena ushukuru wamekuhurumia sana nenda kawape pongezi kwa kukusaidia
 
Dah wazee mlivyopiga spana mtoa mada[emoji23][emoji23][emoji23] mwanangu pole sana, inawezekana dereva na huyo konda labda walifanyaga uzembe vitu vikaibwa ndo maana wakawa wakali.. usisuse chief[emoji1363]
 
Pole, hàpa nisichokielewa ni kwanini mkeo hakukutetea ukizingatia siti namba nne iko karibu na mlango!
 
Emannuel Jasiri mbona uko hivyo! Ndugai unaye badala ya kumtumia kumuita mkeo aje mlangoni kuchukua pa-diemu na mambo yakaisha unakuja JF ambayo mpaka mtu aweke bando ndiyo akusikie! Hebu Mjasiriamali Jasiri jaribu kuwa mkweli tu. Basi siyo soko ambamo kila mtu anaingia hasa nyie wauza dawa za mapunya na fangasi. Huyo dereva na kondakita wanakufahamu kwa sababu kila siku wanakuona hapo stendi na Ndugai wako.
Ndugai na Shabbiby wote dugu moja wapo bungeni hivyo mnajuana, acha hiyo.
 
Inashangaza Sana hata muendesha baiskeli anamnyanyasa mtembea kwa miguu, muendesha pikpik anamyanyasa muendesha baiskel na mtembea kwa miguu, muendesha gari ndogo anamnyanyasa muendesha pikpik,baiskel na mtembea kwa miguu, muendesha gari kubwa anamnyanyasa muendesha gar ndogo.
Binadam wengi wasio na utu pindi wanapopata nafas sehemu huwa wanawanyanyasa watu ambao hawana nafasi, haya yote hayataisha Hadi pale binadam watakapobadilika na kuwapendelea watu Yale wanayo yapenda katika nafsi zao
 
Umemaliza mkuu umesema niliyokuwa nayafikiria kuna kitu hakipo sawa hapa.
 
Kwani hiyo spika ilikuwa kubwa kiasi gani? Kama ilikuwa kubwa sana lazima ingewafanya huyo dereva kufikiri vinginevyo.
Pole hata hivyo! Nikuombe tu samehe hayo yamepita.
Harafu ungemrushia mkeo hiyo pesa kwa njia ya mtandao wa simu harafu angeitolea mbele ya safari,after theni kutoka Arusha mpaka Dom ni masaaa machache angeweza kuvumilia.
 
Kwa kampuni ya kistaarabu kama shabiby hawakustahili kufanya hivyo
 
Baadhi ya wafanyakazi wa shabiby Wana dharau mnoo..

Nilisafiri na shabiby Dar -Dom siku za hivi karibuni nikiwa na mtoto wangu wa miaka 3 nikakata seat 2 Mimi yangu na yeye ya kwake. Moja ya zile seat kwa mbele kulikua kuchafu Kama matapishi yaliyokauka kuanzia juu mpaka pale kwenye sehemu ya kuweka chupa za maji/soda.
Nikamwita yule mdada hakuja! Tulipofika Moro tukashuka kwa ajili ya chakula nikamtafuta nikamwambia shida iliyopo akaninyali na kunijibu sijui hata kitu gani, ile seat haikufutwa mpaka tunafika Dom. Njia nzima nilikua na kazi ya kumzuia mwanangu asiguse pale mahali. ALINIKWAZA MNOOO.

Tukarudi na kimbinyiko.
 
Panda Bm
 
Arusha kuna wezi huwezi acha kitu nje ni hatari

Hata hivyo nashukuru ofisi ya shabibu wameshughulikia hili tatizo

Maana ni abiria wao
Pole, ila kulikuwa kuna ulazima gani kupanda na hiyo speaker?
Au kuingia ndani ya basi?
Stand kuna wezi wengi ,huwezi acha kitu hovyo

Na nilikuwa naingia na kutoka sio zaidi,

Ila hizi ni changamoto tu

Ni abiria wao wa Mara KWA Mara

Tatizo ni dereva

KWA hiyo yote sawa

MUNGU YUPO
 
Tatizo sio ofisi ya Shabiby,Nina mlenga dereva

Mimi nine eleza kilicho nikera

Wengine wamenifariji pia wengine wamenidharirisha mtandaoni japo hawanijui mimi ni nani

Dunia ni mzunguko

Usimdharau usiye mjua

Wala usiongee KWA hisia

Kitajulikana
 
Tatizo sio ofisi ya Shabiby,Nina mlenga dereva

Mimi nine eleza kilicho nikera

Wengine wamenifariji pia wengine wamenidharirisha mtandaoni japo hawanijui mimi ni nani

Dunia ni mzunguko

Usimdharau usiye mjua

Wala usiongee KWA hisia

Kitajulikana
Uliongea vizuri sana.Hii ya wewe ni nani imenishangaza sana!!! Utabaki kuwa binadamu ulizaliwa na utakufa,Mungu ndie mkubwausijikweze kama Balshza,kila ajikwezae atshushwa nae ajishushae atakwezwa.
 
Mimi sio Mkubwa

Ila namtegemea Mungu Mkubwa
Uliongea vizuri sana.Hii ya wewe ni nani imenishangaza sana!!! Utabaki kuwa binadamu ulizaliwa na utakufa,Mungu ndie mkubwausijikweze kama Balshza,kila ajikwezae atshushwa nae ajishushae atakwezwa.
 
Bila shaka,wewe ni mchawi,wachawi ndio wanajhivi

Pole sana

Jizi mwenyewe, pumbavu,mwenda wazimu usiye jitambua

Kama huna cha kujibu acha kujipendekeza

Mshenzi
Nimeficha nini

So laIma ujibu kila post

Kama huna cha kusema nyamaza

Suniani tumetofautiana

Kama huamini endelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…