Afu udhalilishaji wenyewe mdogo sana. Mimi nilishawahi kurushwa dirishani kwenye bombardier ikiwa ishapaa angani. Na sijawahi kulalamika...Ngumu kumesa!!.Wakati udhalilishaji huu wote uliousema hapa ukitendewa,huyo mkeo alishindwa kuthibitisha kuwa wewe ni mumewe na unamletea hela?.
Pole, hàpa nisichokielewa ni kwanini mkeo hakukutetea ukizingatia siti namba nne iko karibu na mlango!Nimekuwa mpenzi wa kutumia usafiri wa basi la Shabiby mimi na familia yangu kwa miaka zaidi ya mitano
Dar, Dodoma, Dodoma Arusha.
Ila leo kwa yaliyo nikuta kupitia dereva huyu, imeniuma sana
Tulikata tiketi siti namba 4 kwa ajili ya mke wangu kusafiri toka Arusha kuelekea Dodoma ni katika basi linalo wasili Arusha saa nne asubuhi ili kuelekea Dodoma.
Katika pilikapilika za safari nikajikuta nimesahau kadi yangu ya benki ambayo nilidhamiria kuitumia kutoa pesa ili kumpa mke wangu pesa ya matumizi njiani na hii ndio ikawa sababu kwa mimi kukutana na maumivu niliyoyapata kwa dereva nisiye mfahamu jina lake ila ndiye dereva wa basi tulilo kata tiketi hii,yaani basi la Shabiby.
Kutokana na kusahau kadi ya benki nililazimika kumuacha ndani ya gari mke wangu ambaye nilikuwa nikimsindikiza kutafuta namna nyingine ya kupata pesa ili nimpe ya kula njiani,
Baada ya kufanikiwa nikarejea ndani ya gari, kwa lengo la kumpa hiyo pesa mke wangu,ndipo dereva huyu wa shabiby baada ya kuona kuwa mkononi mwangu nimeshika speaker ndogo ambayo huwa naitumia kwa ujasiliamali ,yeye akahisi labda naingia kuuza bidhaa fulani
Hata hivyo kwa upole nilimweleza kuwa, mimi siingi kuuza ila lengo langu ni kumpa mke wangu pesa ya matumizi njiani.
Kilicho niumiza, bado aliendelea kuni zuia kibabe
Hakuishia hapo tu alinikunja huku kondakta wake akinivuta mguu kwa nje,mbele za mke wangu,abiria na watu wengine,kiukweli nimedhslilishwa,naamini kosa langu ni kuutumia usafiri wa shabiby kumsafirisha mke wangu,halafu kuamua kumletea pesa ya matumizi mke wangu.
Kweli nimejaribu kumwelezea mtu niliye fahamishwa kuwa ni kiongozi wake hata sijaridhishwa na namna alivyoshughulikia kudhalilishwa kwangu,kiukweli nimeamua,maana mimi huwa hakuna aina ya biashara mbayo huwa naifanya ndani ya mabasi,zaidi ya leo kumsindikiza mke wangu.
Kweli,kama kampuni ya mabasi ya shabiby haita muwajibisha huyu,aliye nikunja hata kunitishia kunipiga,kisa,nimemweleza kuwa nampa mke wangu pesa ya matumizi njiani, basi kwa mimi binafsi na familia yangu nitafikiria kuto penda kuutukimia usafiri huu kwa mara nyingine,maana nimeaibishwa sana.
Nimejaribu kutafuta mawasiliano ya kampuni ya basi la shabiby makao makuu ili kutoa taarifa ya kero hii, ila sijatambua namna ya kuwapata,ndio maana nimeandika hapa ili wahusika wapatapo ujumbe angalau walishughulikie hili kama wana upendo na wateja wao,tafadhali wasilifumbie macho
Muda huu basi hilo bado lipo njiani kuelekea dodoma, mke wangu niliye msafirisha anaitwa Silvero Mwacha ,yupo sit namba 4, tafadhali wahusika popote mlipo nimekereka, naomba msilifumbie macho hili.
Ni mimi Emmamuel.
Emannuel Jasiri mbona uko hivyo! Ndugai unaye badala ya kumtumia kumuita mkeo aje mlangoni kuchukua pa-diemu na mambo yakaisha unakuja JF ambayo mpaka mtu aweke bando ndiyo akusikie! Hebu Mjasiriamali Jasiri jaribu kuwa mkweli tu. Basi siyo soko ambamo kila mtu anaingia hasa nyie wauza dawa za mapunya na fangasi. Huyo dereva na kondakita wanakufahamu kwa sababu kila siku wanakuona hapo stendi na Ndugai wako.Nimekuwa mpenzi wa kutumia usafiri wa basi la Shabiby mimi na familia yangu kwa miaka zaidi ya mitano
Dar, Dodoma, Dodoma Arusha.
Ila leo kwa yaliyo nikuta kupitia dereva huyu, imeniuma sana
Tulikata tiketi siti namba 4 kwa ajili ya mke wangu kusafiri toka Arusha kuelekea Dodoma ni katika basi linalo wasili Arusha saa nne asubuhi ili kuelekea Dodoma.
Katika pilikapilika za safari nikajikuta nimesahau kadi yangu ya benki ambayo nilidhamiria kuitumia kutoa pesa ili kumpa mke wangu pesa ya matumizi njiani na hii ndio ikawa sababu kwa mimi kukutana na maumivu niliyoyapata kwa dereva nisiye mfahamu jina lake ila ndiye dereva wa basi tulilo kata tiketi hii,yaani basi la Shabiby.
Kutokana na kusahau kadi ya benki nililazimika kumuacha ndani ya gari mke wangu ambaye nilikuwa nikimsindikiza kutafuta namna nyingine ya kupata pesa ili nimpe ya kula njiani,
Baada ya kufanikiwa nikarejea ndani ya gari, kwa lengo la kumpa hiyo pesa mke wangu,ndipo dereva huyu wa shabiby baada ya kuona kuwa mkononi mwangu nimeshika speaker ndogo ambayo huwa naitumia kwa ujasiliamali ,yeye akahisi labda naingia kuuza bidhaa fulani
Hata hivyo kwa upole nilimweleza kuwa, mimi siingi kuuza ila lengo langu ni kumpa mke wangu pesa ya matumizi njiani.
Kilicho niumiza, bado aliendelea kuni zuia kibabe
Hakuishia hapo tu alinikunja huku kondakta wake akinivuta mguu kwa nje,mbele za mke wangu,abiria na watu wengine,kiukweli nimedhslilishwa,naamini kosa langu ni kuutumia usafiri wa shabiby kumsafirisha mke wangu,halafu kuamua kumletea pesa ya matumizi mke wangu.
Kweli nimejaribu kumwelezea mtu niliye fahamishwa kuwa ni kiongozi wake hata sijaridhishwa na namna alivyoshughulikia kudhalilishwa kwangu,kiukweli nimeamua,maana mimi huwa hakuna aina ya biashara mbayo huwa naifanya ndani ya mabasi,zaidi ya leo kumsindikiza mke wangu.
Kweli,kama kampuni ya mabasi ya shabiby haita muwajibisha huyu,aliye nikunja hata kunitishia kunipiga,kisa,nimemweleza kuwa nampa mke wangu pesa ya matumizi njiani, basi kwa mimi binafsi na familia yangu nitafikiria kuto penda kuutukimia usafiri huu kwa mara nyingine,maana nimeaibishwa sana.
Nimejaribu kutafuta mawasiliano ya kampuni ya basi la shabiby makao makuu ili kutoa taarifa ya kero hii, ila sijatambua namna ya kuwapata,ndio maana nimeandika hapa ili wahusika wapatapo ujumbe angalau walishughulikie hili kama wana upendo na wateja wao,tafadhali wasilifumbie macho
Muda huu basi hilo bado lipo njiani kuelekea dodoma, mke wangu niliye msafirisha anaitwa Silvero Mwacha ,yupo sit namba 4, tafadhali wahusika popote mlipo nimekereka, naomba msilifumbie macho hili.
Ni mimi Emmamuel.
Umemaliza mkuu umesema niliyokuwa nayafikiria kuna kitu hakipo sawa hapa.Nikupe pole, ila kwa maelezo yko nahisi kunakitu unakificha. Kwanini.
1. Kama wangekuona kabla ukimsindikiza mkeo sidhani kama wangekukatalia kuingia.
2. Baada yakukataliwa kuingia bado ulikuwa na nafasi yakumuita dirishani na mambo yakaenda bara bara.
3. Wakati wavurugu bado mkeo alikuwa na nafasi ya kutoka nakuja kuchukua hiyo posho kuepuka dhahama hiyo.
Kifupi kosa ni lakwako.
Kwa kampuni ya kistaarabu kama shabiby hawakustahili kufanya hivyoNikupe pole, ila kwa maelezo yko nahisi kunakitu unakificha. Kwanini.
1. Kama wangekuona kabla ukimsindikiza mkeo sidhani kama wangekukatalia kuingia.
2. Baada yakukataliwa kuingia bado ulikuwa na nafasi yakumuita dirishani na mambo yakaenda bara bara.
3. Wakati wavurugu bado mkeo alikuwa na nafasi ya kutoka nakuja kuchukua hiyo posho kuepuka dhahama hiyo.
Kifupi kosa ni lakwako.
Panda BmBaadhi ya wafanyakazi wa shabiby Wana dharau mnoo..
Nilisafiri na shabiby Dar -Dom siku za hivi karibuni nikiwa na mtoto wangu wa miaka 3 nikakata seat 2 Mimi yangu na yeye ya kwake. Moja ya zile seat kwa mbele kulikua kuchafu Kama matapishi yaliyokauka kuanzia juu mpaka pale kwenye sehemu ya kuweka chupa za maji/soda.
Nikamwita yule mdada hakuja! Tulipofika Moro tukashuka kwa ajili ya chakula nikamtafuta nikamwambia shida iliyopo akaninyali na kunijibu sijui hata kitu gani, ile seat haikufutwa mpaka tunafika Dom. Njia nzima nilikua na kazi ya kumzuia mwanangu asiguse pale mahali. ALINIKWAZA MNOOO.
Tukarudi na kimbinyiko.
Asante,ila utajuaBora wangekuvunja mguu ili iwe fundisho kwa sakala kama wewe
Pole sana mkuu!
Arusha kuna wezi huwezi acha kitu nje ni hatariWewe ndo mwemye makosa , kwanza unaingia kwenye gari na vifaa vyako vya kazi , pili ulipaswa kumsikiliza dreva anasema nini ili ufate maagizo kabla ujavutwa mguu na hyo kondakita .
Fata utaratibu maana inawezeka mda wa kuondoka ulikuwa umewadia kwaiyo walikuwa wanaanza safari kwaiyo wasingeruhusu uingie.
Stand kuna wezi wengi ,huwezi acha kitu hovyoPole, ila kulikuwa kuna ulazima gani kupanda na hiyo speaker?
Au kuingia ndani ya basi?
Uliongea vizuri sana.Hii ya wewe ni nani imenishangaza sana!!! Utabaki kuwa binadamu ulizaliwa na utakufa,Mungu ndie mkubwausijikweze kama Balshza,kila ajikwezae atshushwa nae ajishushae atakwezwa.Tatizo sio ofisi ya Shabiby,Nina mlenga dereva
Mimi nine eleza kilicho nikera
Wengine wamenifariji pia wengine wamenidharirisha mtandaoni japo hawanijui mimi ni nani
Dunia ni mzunguko
Usimdharau usiye mjua
Wala usiongee KWA hisia
Kitajulikana
Uliongea vizuri sana.Hii ya wewe ni nani imenishangaza sana!!! Utabaki kuwa binadamu ulizaliwa na utakufa,Mungu ndie mkubwausijikweze kama Balshza,kila ajikwezae atshushwa nae ajishushae atakwezwa.
Nimeficha niniBila shaka,wewe ni mchawi,wachawi ndio wanajhivi
Pole sana
Jizi mwenyewe, pumbavu,mwenda wazimu usiye jitambua
Kama huna cha kujibu acha kujipendekeza
Mshenzi