KERO Kampuni ya Bima ya IGT inatuzungusha miaka kutulipa stahiki zetu, tumeamua kulala ofisini ili tulipwe

KERO Kampuni ya Bima ya IGT inatuzungusha miaka kutulipa stahiki zetu, tumeamua kulala ofisini ili tulipwe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
photo_2024-08-05_10-45-42.jpg

photo_2024-08-05_10-45-41.jpg
Hawa ni Watanzania wanaidai Kampuni ya Insurance Group of Tanzania, wiki iliyopita walitumia siku tatu kushinda na kulala katika ofisi za kampuni hiyo kutaka kulipwa madai yao wanayodai ofisi hiyo iliyopo maeneo ya Kawe karibu na makao makuu ya SUMA JKT.

Kampuni hiyo imekuwa na viongozi wenye ‘blabla’ nyingi, wanatoa ahadi ahadi mbalimbali za kulipa tena kwa maandishi lakini imeshindikanika kutimiza.

Tunaowadai kila mtu ana madi yake tofauti, wapo wanaodai malipo ya Miaka Miaka 4 na wengine zaidi, uzoefu unaonesha ili ulipwe inatakiwa uende pale na kuweka shinikizo sana ndipo watakulipa.

photo_2024-08-05_10-45-42 (2).jpg

photo_2024-08-05_10-45-43.jpg

photo_2024-08-05_10-45-44 (2).jpg
Siku za nyuma wanaodai taasisi hiyo ya Bima waliandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo ikatoa maelekezo kuwa pande zote mbili tukubaline, makubaliano yalifanyika kwa maandishi na nakala kupelekwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Tukakubaliana kuwa malipo ya kundi la kwanza yaanze kufanyika Julai 2024, hata hivyo malipo haya hayakufanyika.

Ilielezwa kuwa Serikali imesitisha malipo hayo kwa kumteua meneja usimamizi wa kampuni hiyo ili kuchunguza madai hayo.

Hii sio mara ya kwanza viongozi wa Serikali kuingilia kati suala hili la malipo yetu kila tunapokaribia kulipwa. Kuna taarifa kuwa Kampuni ya IGT inamilikiwa na vigogo Serikalini wanaotumia nguvu yao kulizima suala hili.

Baadhi ya wadai ni wazee, wengine wana Watoto wadogo, wengine wanavyuma katika maungo yao vinavyotakiwa kutolewa kwa gharama, maana kwa sasa si tiba tena ila ni ugonjwa.

Kama Serikali inasisitiza kuhusu ulipaji wa malipo ya Bima, kampuni zenyewe za bima zinafanya mambo kama haya, hii sio sawa.

Majibu ya TIRA kuhusu mgogoro huo ~ Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) yaingilia kati mgogoro wa Kampuni ya Bima ya IGT kushindwa kulipa madeni
 
Hawa ni Watanzania wanaidai Kampuni ya Insurance Group of Tanzania, wiki iliyopita walitumia siku tatu kushinda na kulala katika ofisi za kampuni hiyo kutaka kulipwa madai yao wanayodai ofisi hiyo iliyopo maeneo ya Kawe karibu na makao makuu ya SUMA JKT.

Kampuni hiyo imekuwa na viongozi wenye ‘blabla’ nyingi, wanatoa ahadi ahadi mbalimbali za kulipa tena kwa maandishi lakini imeshindikanika kutimiza.

Tunaowadai kila mtu ana madi yake tofauti, wapo wanaodai malipo ya Miaka Miaka 4 na wengine zaidi, uzoefu unaonesha ili ulipwe inatakiwa uende pale na kuweka shinikizo sana ndipo watakulipa.

Siku za nyuma wanaodai taasisi hiyo ya Bima waliandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo ikatoa maelekezo kuwa pande zote mbili tukubaline, makubaliano yalifanyika kwa maandishi na nakala kupelekwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Tukakubaliana kuwa malipo ya kundi la kwanza yaanze kufanyika Julai 2024, hata hivyo malipo haya hayakufanyika.

Ilielezwa kuwa Serikali imesitisha malipo hayo kwa kumteua meneja usimamizi wa kampuni hiyo ili kuchunguza madai hayo.

Hii sio mara ya kwanza viongozi wa Serikali kuingilia kati suala hili la malipo yetu kila tunapokaribia kulipwa. Kuna taarifa kuwa Kampuni ya IGT inamilikiwa na vigogo Serikalini wanaotumia nguvu yao kulizima suala hili.

Baadhi ya wadai ni wazee, wengine wana Watoto wadogo, wengine wanavyuma katika maungo yao vinavyotakiwa kutolewa kwa gharama, maana kwa sasa si tiba tena ila ni ugonjwa.

Kama Serikali inasisitiza kuhusu ulipaji wa malipo ya Bima, kampuni zenyewe za bima zinafanya mambo kama haya, hii sio sawa.
bima ya nini mnadai
 
Hawa ni Watanzania wanaidai Kampuni ya Insurance Group of Tanzania, wiki iliyopita walitumia siku tatu kushinda na kulala katika ofisi za kampuni hiyo kutaka kulipwa madai yao wanayodai ofisi hiyo iliyopo maeneo ya Kawe karibu na makao makuu ya SUMA JKT.

Kampuni hiyo imekuwa na viongozi wenye ‘blabla’ nyingi, wanatoa ahadi ahadi mbalimbali za kulipa tena kwa maandishi lakini imeshindikanika kutimiza.

Tunaowadai kila mtu ana madi yake tofauti, wapo wanaodai malipo ya Miaka Miaka 4 na wengine zaidi, uzoefu unaonesha ili ulipwe inatakiwa uende pale na kuweka shinikizo sana ndipo watakulipa.

Siku za nyuma wanaodai taasisi hiyo ya Bima waliandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo ikatoa maelekezo kuwa pande zote mbili tukubaline, makubaliano yalifanyika kwa maandishi na nakala kupelekwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Tukakubaliana kuwa malipo ya kundi la kwanza yaanze kufanyika Julai 2024, hata hivyo malipo haya hayakufanyika.

Ilielezwa kuwa Serikali imesitisha malipo hayo kwa kumteua meneja usimamizi wa kampuni hiyo ili kuchunguza madai hayo.

Hii sio mara ya kwanza viongozi wa Serikali kuingilia kati suala hili la malipo yetu kila tunapokaribia kulipwa. Kuna taarifa kuwa Kampuni ya IGT inamilikiwa na vigogo Serikalini wanaotumia nguvu yao kulizima suala hili.

Baadhi ya wadai ni wazee, wengine wana Watoto wadogo, wengine wanavyuma katika maungo yao vinavyotakiwa kutolewa kwa gharama, maana kwa sasa si tiba tena ila ni ugonjwa.

Kama Serikali inasisitiza kuhusu ulipaji wa malipo ya Bima, kampuni zenyewe za bima zinafanya mambo kama haya, hii sio sawa.
Na viongozi wa Kisiasa hawanaga Msaada kwenye mambo ya msingi kama haya
 
Ni madai ya bima ya utumishi maana hoja yako haieleweki
 
Back
Top Bottom