Nicolas Pepe
Member
- Aug 6, 2019
- 13
- 19
Asante sanaMagari ya kawe omba msaada kituo kinaitwa kwa mwinyi ukishuka ulizia office za gardaword utaelekezwa sio mbali ukifika unakutana na huo ubao wa matangazo
Sorry nje ya mada, vipi kwa nafasi ya walinzi kuna muda maalumu wanatoa nafasi au naweza kupeleka tu barua muda wowote? Na vipi kuhusu umri limit yao?madereva bado wanahitajika na mtakao bahatika sio vibaya mkaja kuleta mrejesho...hapa
Unaweza bro pelekaSorry nje ya mada, vipi kwa nafasi ya walinzi kuna muda maalumu wanatoa nafasi au naweza kupeleka tu barua muda wowote? Na vipi kuhusu umri limit yao?
Unaweza bro peleka
mnakaribisha sana upo mkoa gani...?Ok ,kwa watu wenye taaluma kutoka majeshini Vipi ?
Nina ndugu yangu yupo Dar !mnakaribisha sana upo mkoa gani...?