DOKEZO Kampuni ya Gelato Dreams inanyanyasa watanzania

DOKEZO Kampuni ya Gelato Dreams inanyanyasa watanzania

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Habari,

Kuna mdau namfahamu alikuwa amepata nafasi ya kazi kwa kampuni tajwa apo juu, alitumiwa meseji ya maelekezo kuwa wataanza kufanya training ambayo ina shift, kuna asubuhi na usiku, uyo mdau alipangiwa shift ya usiku na malipo ilikuwa ni 20k per shift.

Cha ajabu alienda kwa iyo shift kuanzia saa mbili usiku mpaka saa 2 asubuhi na walivyotoka wakadai malipo wakasema walimuulize HR, HR katafutwa na kusema malipo sio 20k kwa shift bali ni 20k kwa siku 4, maana ni 5k kwa shift kitu ambacho sio sawa kabisa kama ilivyokuwa kwa maelekezo.

Jamaa alikuwa amechoka sana anasema msimamizi alikuwa mkali sana hakukuwa na muda wa kumpuzika na hii kitu ni kama mchezo wa iyo kampuni kutumia watu vibaya bila malipo na sidhani kama serikali inajua hili.

Kampuni ina ofisi mtaa wa SIDO, Morocco, Kinondoni nyumba namba 1.

Asanteni.
 
Habari,

Kuna mdau namfahamu alikuwa amepata nafasi ya kazi kwa kampuni tajwa apo juu, alitumiwa meseji ya maelekezo kuwa wataanza kufanya training ambayo ina shift, kuna asubuhi na usiku, uyo mdau alipangiwa shift ya usiku na malipo ilikuwa ni 20k per shift.

Cha ajabu alienda kwa iyo shift kuanzia saa mbili usiku mpaka saa 2 asubuhi na walivyotoka wakadai malipo wakasema walimuulize HR, HR katafutwa na kusema malipo sio 20k kwa shift bali ni 20k kwa siku 4, maana ni 5k kwa shift kitu ambacho sio sawa kabisa kama ilivyokuwa kwa maelekezo.

Jamaa alikuwa amechoka sana anasema msimamizi alikuwa mkali sana hakukuwa na muda wa kumpuzika na hii kitu ni kama mchezo wa iyo kampuni kutumia watu vibaya bila malipo na sidhani kama serikali inajua hili.

Kampuni ina ofisi mtaa wa SIDO, Morocco, Kinondoni nyumba namba 1.

Asanteni.
Bro si bora wanalipa 😂 nimewahi omba kazi kwa mwanafamily humuhumu wa JF nimefanya wiki nzima akisema ya matazamio nakula kwa hela yangu nauli yangu mfukoni na hesabu zote nareport na mauzo nawasilisha nimejituma sana wiki ilipoisha bruh you know what happened 😂 wiki imeisha naanza tukanwa from no where ilikua kazi ya kusupply mitungi bro mara hesabu za mitungi hazitimii na usipotimia deni kumbe boss na mfanyakazi mwingine ni mchezo wao mshahara 100 nadaiwa 51k mtungi wa ges wk 1 😂 ikija fika mwisho wa mwezi mm ndo nadeni sasa ofisini nailipa ofisi you know whay niliresign mwenyew tu na kumwambia boss den litalipwa siku nilizofanya kazi.
 
Bro si bora wanalipa 😂 nimewahi omba kazi kwa mwanafamily humuhumu wa JF nimefanya wiki nzima akisema ya matazamio nakula kwa hela yangu nauli yangu mfukoni na hesabu zote nareport na mauzo nawasilisha nimejituma sana wiki ilipoisha bruh you know what happened 😂 wiki imeisha naanza tukanwa from no where ilikua kazi ya kusupply mitungi bro mara hesabu za mitungi hazitimii na usipotimia deni kumbe boss na mfanyakazi mwingine ni mchezo wao mshahara 100 nadaiwa 51k mtungi wa ges wk 1 😂 ikija fika mwisho wa mwezi mm ndo nadeni sasa ofisini nailipa ofisi you know whay niliresign mwenyew tu na kumwambia boss den litalipwa siku nilizofanya kazi.
Mtaje 😂
 
Back
Top Bottom