Huyu jamaa anakwenda na kasi ya dunia.Huko tunakokwenda kila kitu kitakuwa kiganjani-digital world.so ameitime time kabla time haijamtime yeye
×
BREAKING NEWS
- Tanzia: Mzee Jengua Afariki Dunia
- Breaking News: Bilionea Subash Patel Afariki Dunia
- Ajali ya Basi la Frester Yaua Mtoto Kahama
Kuanzia Januari Mosi, 2021 magazeti pendwa yote ya Global Publishers yatapatikana kupitia mtandaoni pekee.
Hakikisha una Dowload Application yako ya Global Publishers sasa ili ujisomee hadithi uzipendazo na habari za magazeti ya Uwazi, Ijumaa Wikienda, Risasi na Amani BURE kwa mwezi mzima!
Baada ya OFA hii, utayasoma kwa bei rahisi ya shilingi 300 tu kwa nakala popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania, kupitia Global App au website
Ahahahahaha nomaMaendeleo hayana chama au nasema uongo ndugu zangu,nileteeni gwajima
Huyu jamaa anakwenda na kasi ya dunia.Huko tunakokwenda kila kitu kitakuwa kiganjani-digital world.so ameitime time kabla time haijamtime yeye
Hongera kwako Eric.
Sema ajira za masales man kwish kazi
na wale wenzangu ni mimi wa kurekebisha mitambo ya kichapishia kazi kwa heri.waliokiwa wana suply wino na makaratasi tutaonana kunako majariwa
Hii ndiyo habari ya mafundisho ya Mwl.Mwakasege ya MSIMU MPYA
Nani anunue gazeti linalotoa habari za marudio.maana smart phone zinatupa taarifa zote "at real time".taarifa za habar za kwenye tv zinafuata and then magazeti kesho yake,taarifa ni marudio kabisa.Magazeti mauzo yamepungua sana.. na kizazi cha wazee wa zamani kinavyozidi kuisha ndio wanunuzi wa magazeti wanaisha kabisa
Kusema ukweli, sikumbuki ni lini mara ya mwisho nimenunua gazeti mtaani !
×
BREAKING NEWS
- Tanzia: Mzee Jengua Afariki Dunia
- Breaking News: Bilionea Subash Patel Afariki Dunia
- Ajali ya Basi la Frester Yaua Mtoto Kahama
Kuanzia Januari Mosi, 2021 magazeti pendwa yote ya Global Publishers yatapatikana kupitia mtandaoni pekee.
Hakikisha una Dowload Application yako ya Global Publishers sasa ili ujisomee hadithi uzipendazo na habari za magazeti ya Uwazi, Ijumaa Wikienda, Risasi na Amani BURE kwa mwezi mzima!
Baada ya OFA hii, utayasoma kwa bei rahisi ya shilingi 300 tu kwa nakala popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania, kupitia Global App au website
Unasema ikufungwa itaadhiri watu wengi? Kwamba gharama za kuendesha mitambo na kulipa wafanyakazi bila income unaona ni sawa?Hii biashara ya haya magazeti ikifungwa itaathiri watu wengi wanauza wino wataumia maana hamna printing..Pili wauza karatasi nao wataumia pia na mnyororo wote wa wahusika hawa....
Lakini pia vigazeti hivi Vinaandika uongo unakuta heading inasema Flani akumbwa na Bonge la skendo mara ooh flani vile ukiingia kusoma ndani unakuta ni kitu tofauti kabisaaa...
Daaa!!! Halafu pension ndio holaa!! Qualifications: " Semina mbalimbali" Uncle, yuko Bungeni kujadili hoja! Duu!!Mi nahurumia ajira za watu.
Kwa Tanzania mwananchi mmoja mwenyewe uwezo ana tegemewa na watu kumi.
Poleni wahusika