Huyu jamaa anakwenda na kasi ya dunia.Huko tunakokwenda kila kitu kitakuwa kiganjani-digital world.so ameitime time kabla time haijamtime yeye
Hongera kwako Eric.
Sema ajira za masales man kwish kazi
na wale wenzangu ni mimi wa kurekebisha mitambo ya kichapishia kazi kwa heri.waliokiwa wana suply wino na makaratasi tutaonana kunako majariwa
Hii ndiyo habari ya mafundisho ya Mwl.Mwakasege ya MSIMU MPYA
Udaku uko free na fast InstagramWatu hawana hela za kununua magazeti ya udaku?
Mimi nashukuru siingii huko. Maana unaweza kuwa hooked.Safari moja ikaanzisha nyingine.Udaku uko free na fast Instagram
Why anunue gazeti kesho??
Maendeleo hayana chama au nasema uongo ndugu zangu,nileteeni gwajima
Mimi nashukuru siingii huko. Maana unaweza kuwa hooked.Safari moja ikaanzisha nyingine.
Wanachangamkia ad dollars, I hope mitandao imerudi kama kawaida sasa, hapa katikati waliwaharibia sana watu wenye hizi biashara.These days YouTube channels ndo zina take over..so kuwakwepa ngumu
Unaweza anza na channels zingine ukashangaa upo kwingine
Bila Shaka kipindi icho ulikuwa hujaanza ile tabia mbaya ya kujifanya mashine ya kusaga[emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka enzi hizo nipo bado chalii napita zangu mitaa ya Mwenge niende skonga, nikajisogeza kwenye meza ya magazeti kupitia vichwa vya habari, nasoma gazeti la Maisha namkuta dada yangu kipenzi kwenye ukurasa wa mbele, nikafurahi sana, nikatoa sh. 100 nikanunua gazeti lile (ndio gazeti langu la kwanza kununua) niliporudi jioni nikakuta home walinunua na wao, basi lile gazeti lilikua kwenye maktaba yangu kwa miaka mingi,
Nawaombea kheir kwenye hatua yao nyingine, global publishers.
1.Pesa hakuna.Watu hawana hela za kununua magazeti ya udaku?
Ubunge mtamu bwashee!
×
BREAKING NEWS
- Tanzia: Mzee Jengua Afariki Dunia
- Breaking News: Bilionea Subash Patel Afariki Dunia
- Ajali ya Basi la Frester Yaua Mtoto Kahama
Kuanzia Januari Mosi, 2021 magazeti pendwa yote ya Global Publishers yatapatikana kupitia mtandaoni pekee.
Hakikisha una Dowload Application yako ya Global Publishers sasa ili ujisomee hadithi uzipendazo na habari za magazeti ya Uwazi, Ijumaa Wikienda, Risasi na Amani BURE kwa mwezi mzima!
Baada ya OFA hii, utayasoma kwa bei rahisi ya shilingi 300 tu kwa nakala popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania, kupitia Global App au website
Nimesikia awamu hui hata serikali imejipanga sana kuwekeza kwenye TEHAMA lakini cha ajabu wametunga sheria ngumu sana za mitandao sasa sijui watawekezajeMbio za teknolojia
Usipoenda nayo hiari itakuzoa na kukubeba kwa lazima
Wanachangamkia ad dollars, I hope mitandao imerudi kama kawaida sasa, hapa katikati waliwaharibia sana watu wenye hizi biashara.
Kasi gani? Mpaka sasa Newyork times na Washington post yana patikana kwa hardcopy tena kwa wingi sana,Huyu jamaa anakwenda na kasi ya dunia.Huko tunakokwenda kila kitu kitakuwa kiganjani-digital world.so ameitime time kabla time haijamtime yeye
Hongera kwako Eric.
Sema ajira za masales man kwish kazi
na wale wenzangu ni mimi wa kurekebisha mitambo ya kichapishia kazi kwa heri.waliokiwa wana suply wino na makaratasi tutaonana kunako majariwa
Hii ndiyo habari ya mafundisho ya Mwl.Mwakasege ya MSIMU MPYA
Hahahahahaha kipindi iko bado nilikua innocent.Bila Shaka kipindi icho ulikuwa hujaanza ile tabia mbaya ya kujifanya mashine ya kusaga[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app