Kampuni ya globalpublishers kusimamisha uzalishaji wa magazeti Januari 2021

Saiv umbea wote instagram.. Nani asubiri gazeti? Wakomae digital
 
Kasi gani? Mpaka sasa Newyork times na Washington post yana patikana kwa hardcopy tena kwa wingi sana,
Sawa,kaulize ni kwa kiasi gani hayo makapuni yategemea kujiendesha kwa kuuza mageziti.Kuna kitu kinaitwa "business model" ya print media.hii ni elimu nyingine.
nakuhakikishia print media zote zitazo endelea kwa utaratibu uleule wa miaka 5 iliyopita wataingia kwenye madeni makubwa yatakayoshindwa kulipika
 
Kasi gani? Mpaka sasa Newyork times na Washington post yana patikana kwa hardcopy tena kwa wingi sana,
Hiyo biashara isingekuwa inalipa Jeff angeachana nayo.
 
Yaani SheGongo baada ya kupata ubunge ameamua kuacha kuuza magazeti? Sasa wamama watafungia vitumbua/maandazi/mihogo/viazi na nini?
 
jamaa alianzisha kampuni akaajiri wengi,miongoni mwao watapoteza ajira haya mabadiliko noma sana
 

Shigongo alisha pewa ubunge?
 
Hatari ni nayoiona ni kuwa na jamii ambayo upo half informed...
Gazeti ni reference na hutoa habari kwa ndani..
Hata huko online wasopopata viewers wa kutosha ku cover marketing costs watafunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…