cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Very sad, tumepata mtawala mkurupukaji, ambaye hafanyi analysis ya kile ambacho kitatokea kwa maamuzi anayoyafanua
Hadi majina wanajulikana wawili wana rangi nyeupe Ila waswahili wenzetuHizi ndio zile kampuni type ya symbion power.
Wamiliki wanaweza kuwa mafiisadi wa kitanzania waishio Tanzania halafu ofisi yao iko london kwenye flat ya kupanga. TIC wajitokeze na full document za huyu mwekezaji mwizi.
Hivi ni virusi vichache vilivyobaki vilivyokuwa vikiishambulia afya ya Tanzania.
Sasa mkuu, unavunja sheria alafu unataka uonewe huruma kisa kodi inatoka kwa mnyonge mmh!we jinga kweli kweli.... washitaki zitalipwa na baba yako? Hizi ni hela zetu, kodi zetu znatumika kulipa upuuzi ambao ungeliweza kuepukwa
Ndicho anachotaka Beberu mweusiWameona bombadia zetu hawa...halafu si ile Drimulaini yetu ilianza safari India inabidi tusitishe kwa muda.
Utawala wa sheria ndio kitu Cha mhimu la sivyo tutashitakiwa Sana tu.
Kama tumeokoa zaidi ya hiyo bilioni 200 kwa kuvunja hilo li mkataba lao sioni shida hata tulilipa fidia.Wameona bombadia zetu hawa...halafu si ile Drimulaini yetu ilianza safari India inabidi tusitishe kwa muda.
Utawala wa sheria ndio kitu Cha mhimu la sivyo tutashitakiwa Sana tu.
Sio mabeberu ni watanzania wenzetu na engineer alyefungua hiyo kesi ni Lisu kwa niaba ya mafisadi watanzania wenye hiyo kampuni ndie kaifungua kupitia proxy Wake wanasheria wa njeMAGUFULI njoo huku mabeberu wanakuita
Hadi majina wanajulikana wawili wana rangi nyeupe Ila waswahili wenzetu
Wewe ni mjinga kwelikweli toka lini wazungu waliomba pooo Kwa waafrica?Mbona!!! Umeambiwa na nani hayo?? Wizi wao wa miaka mingi na ujanja janja.. awamu hii na ijayo.. wataomba po tu
Magufuli huwa hakurupuki.. andastudi?
Ni jembe.. smati balaa..
Sio mabeberu ni watanzania wenzetu na engineer alyefungua hiyo kesi ni Lisu kwa niaba ya mafisadi watanzania wenye hiyo kampuni ndie kaifungua kupitia proxy Wake wanasheria wa nje
Lisu ni hatari sana kwa nchi
Vp zile dola bil 490 za Barrick mmezisamehe kama vile hao mabeberu ni binamu zenu?Washitaki tu...kabla ya kesi watuambie CSR walitoa kiasi gani maana hata kampuni yenyewe haifahamiki
Nyie ndio wapumbavu! Hamjui tumeokoa kiasi gani kwa kuvunja huo mkataba!Very sad, tumepata mtawala mkurupukaji, ambaye hafanyi analysis ya kile ambacho kitatokea kwa maamuzi anayoyafanua
Ni kweliUnaweza kukuta hivyo virusi ni vigogo vya CCM, katika jitihada zao za kujichukulia chao mapema
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kwa kujifariji haujamboKwani kabudi ameshasemaje?
Ukiwa tajiri hukosi vikesi vya kudaiwa fidia maana hata wazungu wanajua sisi ni donor country basi tu mambo madogomadogo yanatukwamisha
Sasa kama unawasujudia na mpaka Lisu anasema hatuwezi kuishi bila wao,Wewe ni mjinga kwelikweli toka lini wazungu waliomba pooo Kwa waafrica?
Ndo shida ya usiri wa mikataba ya madini.Ni kweli
KILA NJAMA KUELEKEA UCHAGUZI ZITAJITOKEZA ILA MWISHO RAIS NI MAGUFULI TUKampuni ya utafiti wa dhahabu ya Indiana Resources iliyopo Australia imeanzisha madai ya kutaka fidia ya dola za kimarekani million 95 (takribani TZS Bilioni 220) dhidi ya Serikali ya Tanzania juu ya unyakuaji haramu wa mradi wa madini ya Nikeli (Ntaka Hill Nickel project) uliopo kusini mashariki mwa Tanzania...
Thibitisha, attach your evidence here, sio unaongozwa na chukiSio mabeberu ni watanzania wenzetu na engineer alyefungua hiyo kesi ni Lisu kwa niaba ya mafisadi watanzania wenye hiyo kampuni ndie kaifungua kupitia proxy Wake wanasheria wa nje
Lisu ni hatari sana kwa nchi hana uzalendo na ni part ya genge la wezi mafisadi
Hapa sio mahakamani lakini hiyo Kesi Lisu anahusika kuifungua ili waipige nchi pesa wagawañe helaThibitisha, attach your evidence here, sio unaongozwa na chuki
Acha usingiziaji, ina maana hiyo kampuni haina wanasheria wake?Hapa sio mahakamani lakini hiyo Kesi Lisu anahusika kuifungua ili waipige nchi pesa wagawañe hela
Polepole ataliyolea ufafanuzi hili. Mbona jambo rahisi sanaKampuni ya utafiti wa dhahabu ya Indiana Resources iliyopo Australia imeanzisha madai ya kutaka fidia ya dola za kimarekani million 95 (takribani TZS Bilioni 220) dhidi ya Serikali ya Tanzania juu ya unyakuaji haramu wa mradi wa madini ya Nikeli (Ntaka Hill Nickel project) uliopo kusini mashariki mwa Tanzania...