nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Hapa nimepiga swali,
kule online wanadai nisiwe mwoga nitalipwa iyo 800 kila siku. Sasa shida yangu je hiyo 20 Inaenda wapi? Kwanini nisitangaze biashara zao bila kuweka 20?
Wakuu nimekuja huku tuwekane sawa nisije lia.
Limeulizwa swali, kama malipo yanapatikana kwa kurate bidhaa zao kwanini tena mtu anaambiwa awekeze pesa? Je pesa hizo mnazifanyia nini?
Ni kweli kalynda ni njia salama jiunge nasi sasa uzuri wake unaweza anza kupata commission hata kabla ujaunganisha watu
Mafala mtawapata tu.
Ni kweli kalynda ni njia salama jiunge nasi sasa uzuri wake unaweza anza kupata commission hata kabla ujaunganisha watu
Sema kimeumanaTAYARI HUKO VITU VIMEUMANA
Matapeli wakubwa,
Ni kweli kalynda ni njia salama jiunge nasi sasa uzuri wake unaweza anza kupata commission hata kabla ujaunganisha watu
Ulipata ngapi
Ni kweli kalynda ni njia salama jiunge nasi sasa uzuri wake unaweza anza kupata commission hata kabla ujaunganisha watu
Tayari kitu kizito,hivi watu huwa nyuzi za humu hawazipitiii? Huwa nasikitika kuona mtu yupo jamiiforums watu wanatoa elimu lakini Bado anapigwaMkishaingia wa kutosha...na ikionekana hakuna wapya wanaoingia...mara paap MNAPIGWA NA KITU KIZITO