Mkuu kwa nini kwenye hizi nchi? je ni moja ya nchi zinazo toa wageni wengi?
- Mimi nijuavyo hata makampuni makubwa hapa Tanzania kama Leopard, Kilimanjaro safari club. Rennger safar na zingine sizani kama wana offisi katika hizo nchi.
- Mara nyingi haya makampuni huweka offisi kwenye nchi ambazo zinatoa watalii wengi sana kuja Tanzania kama vile
1. Marekani
2. Uingereza
3. Ujerumani
4 france
5. Hispania
6. Italy
7 Canada
8. Japani
Haya mataifa ndo yanatoa watalii wengi sana na hizi kampuni nyingi zina agent kwenye hizo nchi, na hata hivyo now day baada ya techinolojia kuwa kubwa booking inafanyika kupitia website za haya makampuni, so ukiwa na strong jina haina haja ya kufungua offisi huko unaweza watumia mawakala wa huko.
ILA MKUU KWA KWELI HII BIASHARA YA UTALII IMEKAMATWA SANA NA MAKAMPUNI YA WAZUNGU NA KUNA USANII MKUBWA SANA WANAUFANYA ZIDI YA MAKAMPUNI YA WAZAWA/WATANZANIA