Kampuni ya kuagiza magari ya Orbit imekwenda kinyume na makubaliano yetu katika ununuzi wa gari

maneno tu hayo hata kwenye kanga yapo. sa hv ukiwa na m4 cash unapata gar imenyooka kabisa.
Laki sita unayoweka kila mwezi plus riba ukiiweka kwenye hiyo gari miezi mitatu tu inakuwa kwenye condition nzuri sana.
 
Na kwanini uhangaike kununua gari kama uwezo hujafikia. Mbona sisi tunapanda daladala na mwendokasi bila shida yoyote. Siku tukipata uwezo tutanunua hayo magari.​
Kuna watu si wepesi wa kukubaliana na hali, wanaforce mpaka inakuwa.
 
Si mna Mkataba kama upo tumia huo mkataba kuwafungulia mashtaka ya kukiuka mkataba wakulipe pesa zako na gharama za kuendesha kesi
 
Gharama za gari= 16m
Mkopo= 11m
Inamaana ulikuwa na 5m..
Rejesho 600k+/mon==7+m/yr
Ungesubiri tu mkuu...nawewe pia utakuwa na shida mahali
 
Gharama za gari= 16m
Mkopo= 11m
Inamaana ulikuwa na 5m..
Rejesho 600k+/mon==7+m/yr
Ungesubiri tu mkuu...nawewe pia utakuwa na shida mahali
mkuu mtu anaweza jikuta hana furaha kwenye maisha kisa madeni yasio na mbele wala nyuma.

hizo 7m angeweza kuziwekeza kwenye jambo la maana kabisa alafu gari yenyewe sio ya biashara....
 
mkuu mtu anaweza jikuta hana furaha kwenye maisha kisa madeni yasio na mbele wala nyuma.

hizo 7m angeweza kuziwekeza kwenye jambo la maana kabisa alafu gari yenyewe sio ya biashara....
Huyu anaishi kufurahisha watu...
 
Pole sana mleta mada.

Lakini ndugu yangu, kwanini kuhangaika na kitu ambacho bado hujawa na uwezo nacho? kumbuka, if you cant buy it twice, you dont afford it
But the slogan doesn't work in bongoland
 
Mkuu hao peleka mahakamani,na kesi iwe na fidia ya usumbufu waliosababisha!

pole sana.
 
Ni sawa tu na kampuni ya mikopo ya Jipimiekash hawa wanakupa mkopo kwa makubaliano utarudisha tarehe 1 mwezi ujao na umekopa tarehe 26 lakini ikifika tarehe 28 anapiga simu mwanamke anataka ulipe pesa hiyo siku hiyo kabla jua halijazama anasema hiyo tarehe 1 ni makubaliano ulifanya na kampuni ila yeye anataka tarehe 28

Unajizuia tu kutukana
 
Kwa mujibu wa makubaliano ya awali alikuwa na uwezo nalo

But the slogan doesn't work in bongoland

Sasa imagine mtu ananunua gari kwa kuunga unga ikifika tarehe 15 anapaki sababu hela ya zutu imekata. Gari ikihitaji major repair ya kuanzia 1 m mtu anaanza kupata depression. Siku tukijifunza kuishi within our means, mambo yatakua matamu.​
 
Gari si kitu cha kukopa. Tafuta hela agiza mwenyewe. Au agiza kwa cash.

Nenda showroom lipia ondoka nayo mambo yasiwe mengi.
 
Daah ***** nimecheka....
 
Sasa imagine mtu ananunua gari kwa kuunga unga ikifika tarehe 15 anapaki sababu hela ya zutu imekata. Gari ikihitaji major repair ya kuanzia 1 m mtu anaanza kupata depression. Siku tukijifunza kuishi within our means, mambo yatakua matamu.​
Sure mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…