Kampuni ya kupandisha watalii Mlima Kilimanjaro

Kampuni ya kupandisha watalii Mlima Kilimanjaro

Kibukuasili

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2010
Posts
1,053
Reaction score
615
Nafikiria kuanzisha kampuni ya kupandisha wageni mlima kilimanjaro. Kwa sasa ninachojua ni kwamba.
  1. Lazima uwe na kampuni iliyosajiliwa BRELA na TRA.
  2. Sio lazima kuwa na gari. Magari ya kuwachukua airport kwenda hotelini na kwenye geti la kuanzia/kumalizia unaweza kukodisha.
  3. Nguo za kupanda mlimani wengine wanakuja nazo na za kukodi zipo pia.
  4. Wabeba mizigo, wapishi na waongozaji ni watu wa kulipwa kutwa. Viongozi wao ni vizuri ukawaajiri.
  5. Makampuni ni mengi wateja wachache, lakini juhudi yako ndio utafanikiwa.
Vitu ambavyo sijaweza kupata info za kutosha ni kuhusu leseni ya biashara, malipo ya tanapa ukiacha malipo ya mgeni kupanda mlima, bima inayotakiwa na kama kuna limit ya rates zinazotozwa.

Mwenye uzoefu na hii kitu tafadhali anipatie maelezo ya ziada au anisahihishe kuhusu hayo niliyoyataja hapo juu.

1620219325676.png

 
Umeshapata msaada? Kama hapana nipe namba DM nitakusaidia! Maana kuandika napo ni kazi sana kwa simu inaweza kuwa rahisi kuzungumza.
 
Umeshapata msaada? Kama hapana nipe namba DM nitakusaidia! Maana kuandika napo ni kazi sana kwa simu inaweza kuwa rahisi kuzungumza.
Jitahidi uandike mkuu. Ukiandika utasaidia watu wengi wenye wazo kama langu. Nikija DM utakuwa umenisaidia mimi peke yangu.
Maandishi yanakaa muda mrefu. NImeshawahi kupata info humuhumu JF zilizonisaidia kutoka kwenye post yenye zaidi ya miaka 6.
 
Mkuu unayofahamu kuhusu utalii kwa maelezo yako hata robo bado hujafikia. Not easy, not straight. No easy business till you master it, we do have hunting tourism, cultural tourism, travel tourism, mt. Hiking tourism.

Moreover there is hotel and transportation category, which are the main bridge to tourism industry. Have a look at www.tanzania tourism board, get to know cost per category, terms and conditions.

Currently there are more than 3500 registered tour company about 1500 deals with mountain climbing only. Yes!! Unregistered may over number registered however they are working together.

Search about routes, what else a tourist can do in Tanzania? Influence of price in your tourism package? I remember i have worked in a similar project and produced a compendium of about 150 pages. Off course it is a huge document with very essential information on which both the tourist and tour operator should happy to hear.
Right information is a part of capital in any business, having wrong information make you overate the process and result. Likely to shutdown in less than a year.
 
Back
Top Bottom