Kampuni ya kutoa mikopo

Enny

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
962
Reaction score
130
Habari wakuu. Naomba msaada juu ya taratibu za kufuata ili kuanzisha kampuni ya kutoa mikopo na usajili wake.
 
cha kwanza nenda ni vyema uwe na sehemu ambayo utaifanyia hiyo shughuli yako yaani ofisi

cha pili nenda brela kasajiri jina la biashara

cha tatu nenda manispaa ya wilaya unayotaka kufanyia hiyo sughuli yako wakupe fomu ujaze kwa ajiil ya kuupata leseni ya biashara ,

tafuta watalaamu wa kukuandalia proposal ya unachotaka kufungua

uwe na mtaji usiozidi 10ml kwa mwanzo

ngoja na wengine waje kuchangia hapa
Habari wakuu. Naomba msaada juu ya taratibu za kufuata ili kuanzisha kampuni ya kutoa mikopo na usajili wake.
 
ladyfurahia kwa sasa Brela hawaruhusu Businessname isajiliwe kwa shughuli za kifedha hasa ukopeshaji,ila kwa limited company
Pia leseni yake kwa sasa hutolewa na kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara
Ninauzoefu wa mambo yanuyohusu usajili wa businessname,company limited by share au company limited by guarantee
0712742233
 
Last edited by a moderator:
Ok asante kunielewesha ila msaidie huyo kijana hapo ndo anayehitaji kusakjiliwa

 
Nashukuru sana kwa ushauri wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…