Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania yampongeza Rais Magufuli na kuipongeza Tanzania, kujenga mazingira bora ya biashara ya Mafuta, Uwekezaji

Mayalla ni msukule wa lumumba
 

Attachments

  • IMG-20200902-WA0020.jpg
    103.7 KB · Views: 2
Mbona wanakimbia??????
 
Pascal Mayalla Mkuu ushasikia wapi Mzungu akaponda kitu?

Tabia ya mzungu hata akija kwenye nyumba ya udogo ataisifia udongo na fito zilizojengea hiyo nyumba. Mzungu huwa hadis kitu hata siku moja.

Experience: nafanya nao kazi kwa miaka 15 sasa.
Ni kwa sababu Mtu Mweusi ni "sensitive" sana haswa linapokuja swala la "black and White"....kama inavyoendelea kule US.

Kama ilivyoandikwa kwenye Biblia kuwasihi Waume "ishini nao kwa akili" nadhani nao huwa wanahimizana vivyo hivyo dhidi yetu.
 
Ni kwa sababu Mtu Mweusi ni "sensitive" sana haswa linapokuja swala la "black anda White"....kama inavyoendelea kule US.

Kama ilivyoandikwa kwenye Biblia kuwasihi Waume "ishini nao kwa akili" nadhani nao huwa wanahimizana vivyo hivyo dhidi yetu.
Kabisa, wanacheza na akili zetu. Sisi tunaona wanatusifu kumbe wanatung'ong'a
 
Kaka Pascal, mbona hii kampuni ipo Tanznia Miaka mingi tuu na hata Ndugu yangu mmoja anamiliki sheli 3 mjini Dar za Total tokea miaka ya 1990 .
Kipi cha ajabu kusifiwa Magufuli au CCM hapa?
Labda tuisifu serikali kwa kutowa leseni kama iliivyo towa leseni kwa kampuni za Engen, BP, Camel, Oil Com,Lakes, Big Bon na nyenginezo nyingi ambazo humilikiwa na watanzania wenyewe na hutumia tuu Majina hayo ya Mabeberu ki ubia . Nini hasa hapa zaidi ya Promo?
Kule Zanzibar Kuna Shirika la kizalendo linaitw Z-Petro na Gapco la Mabeberu
Hii nayo tumsifu Dr.Miwinyi au Dr. Sheni?.
Kwanini Total tuuu?
Kwanini Ubiya kwa Mtanzania Huyu tuu?
Au na wewe umo kwenye PROMOTION YA Total?
Cheap Politicks kaka
Naona kama unafulia kuandishi?
 
Hii habari ya zamani sana,miaka kadhaa imepita
 
Pascal Mayalla Mkuu ushasikia wapi Mzungu akaponda kitu?

Tabia ya mzungu hata akija kwenye nyumba ya udogo ataisifia udongo na fito zilizojengea hiyo nyumba. Mzungu huwa hadis kitu hata siku moja.

Experience: nafanya nao kazi kwa miaka 15 sasa.
Hiki ulicho kisema ni sahihi kabisa .. Hata Mimi pia nina hii experience
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…