dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Wekeni kituo cha mafuta maeneo ya mandera road/tabata. Naamini sana bidhaa yenu na kuna wengine wapo karibu lkn ukiweka mafuta tu kwenye gari, taa ya check engene inawaka.
Kwa kuwasaidieni pale Tabata mawenzi kuna sheri imefungwa. Mwaweza kuweka hapo.
Wenu katika ujenzi wa Taifa.
Dyuteromaikota.
Kwa kuwasaidieni pale Tabata mawenzi kuna sheri imefungwa. Mwaweza kuweka hapo.
Wenu katika ujenzi wa Taifa.
Dyuteromaikota.