Kampuni ya magari ya China Foton yazindua malori yaliyounganishwa nchini Kenya

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Kampuni ya magari ya China Foton imezindua rasmi malori yake ya kwanza yaliyounganishwa nchini Kenya ili kuimarisha nafasi yake kwenye soko la Kenya.

Meneja mkuu wa Foton nchini Kenya Bw. Sun Qingzhong amesema kampuni hiyo imedhamiria kutangaza bidhaa zake duniani, imeweka mpango wa muda mrefu wa kuendeleza masoko nchini Kenya na barani Afrika kwa ujumla.

Ameongeza kuwa kampuni yake itaunganisha magari yake huko Miritini, magharibi mwa Mombasa, na kulenga kuwapatia wenyeji bidhaa zenye kiwango cha juu.

Kwa upande mwingine kampuni hiyo pia itatoa vipuri, na kuongeza nafasi za ajira, na hivyo kusaidia maendeleo ya uchumi wa Kenya.
 
More jobs and most importantly technology transfer. It's now apparent that it's not if but rather when Kenya becomes an Industrialized Nation.
 
Kwanini hawa wachina wanapenda vitambaa vyekundu katika uzinduzi wao wowote. Au ndio mambo ya traditional rules,
Chek hata New force gari zao etc

 
Halafu huku mnaweka free port Mombasa na kuruhusi cheap cars kuingia. Mtuweke na sales figures tujuwe kama kweli kuna ROI au ni picha tu.
 
Hovyo ndo viwanda unaweza jipiga kifua sio huku bongo maneno tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
More jobs and most importantly technology transfer. It's now apparent that it's not if but rather when Kenya becomes an Industrialized Nation.

Technology transfer my foot , gari zinatengenezwa tu hamna technology mnayoachiwa
 
The real nchi ya viwanda si wale pretenders wengine na cherehani zao

Tatizo chadena liko hapo[emoji115]
Mmeishiwa Sera na wafuasi pia.
JPM kawashika pabaya, vyeti fake, mishahara hewa na wazembe woote sasa ndio wafuasi wa chadema humu ndani ya JF.
Mmejaa sumu kama cobra kisa kutumbuliwa tu.
 
Halafu huku mnaweka free port Mombasa na kuruhusi cheap cars kuingia. Mtuweke na sales figures tujuwe kama kweli kuna ROI au ni picha tu.
Free port is only for the storage and re-export of transit goods tax free, if they end up on local market they will be subject to normal tax which is high enough to protect the local industry, in 2016 10,000 vehicles were assembled locally..


 
Technology transfer my foot , gari zinatengenezwa tu hamna technology mnayoachiwa
10 year down the line, nikiunda gari kutumia computer hawa jamaa watakua na enough skills to put it together


Kwasasa wana import Chasis, engine parts sisi tunatengeneza body, tire,nk alafu kila kitu kinaunganishwa, next thing ni ku improve steel quality ya Kenya iwe sisi ndo tunatengeneza Chasis iwe bado engine ndo import
 
Kwanini hawa wachina wanapenda vitambaa vyekundu katika uzinduzi wao wowote. Au ndio mambo ya traditional rules,
Chek hata New force gari zao etc

Rangi nyekundu ni rangi yenye thamani na heshima kubwa China ni kama rangi ya taifa na kiimani pia ya kuwaunganisha wachina wote.
 
My question was number of vehicle sold not inventory.

All in all, Kenya car assembly plant was a wider EAC plan to industrialise on motor assembly and manufacturing. Each member state was tasked with duty of developing industry of their choice and others can supply those industries with either raw material or parts needed to produce goods. The idea was stop countries within the block developing similar products which will end up creating unhealthy competition. But it seems there still things needs to be iron out, and I'm suspecting some countries are refusing to let go some industries.

EAC prods Kenya to resume vehicles manufacture


https://www.trademarkea.com/news/bo...elaxes-rules-on-goods-produced-in-the-region/
 
good work...if they can now ban ugly lorries like Tata and Isuzu from our roads..that would be nice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…