Kampuni ya mikopo ya Pesa X hawana lugha nzuri kwa wateja

Kampuni ya mikopo ya Pesa X hawana lugha nzuri kwa wateja

bea123456

New Member
Joined
Oct 15, 2024
Posts
1
Reaction score
3
Pesa X jamn hawa watu wa mikopo hawana lugha nzuri wanatumia lugha chafu vitisho mtu anaambiwa atalipa tar 28 yote na apo imepita siku 2 sms za vitisho kama vyote.

Mimi naomba mamlaka husika hawa watoa mikopo online zipunguwe kama hawa watu wanaoitwa Pesa X hawana lugha nzuri kabsa.
 
Pesa X jamn hawa watu wa mikopo hawana lugha nzl wanatuma lugha chafu vitisho mtu anaambiwa atalipa tar 28 yote na apo imepita siku 2 sms za vitisho kama vyote.

Mimi naomba mamlaka husika hawa watoa mikopo online zipunguwe kama hawa watu wanaoitwa Pesa X hawana lugha nzuri kabsa.
Bado wapo mpaka leo? Mm tulipelekeana moto mpaka leo kunikopesha hawawez. Na mbona walishafungiwa hao?
 
Pesa X jamn hawa watu wa mikopo hawana lugha nzuri wanatumia lugha chafu vitisho mtu anaambiwa atalipa tar 28 yote na apo imepita siku 2 sms za vitisho kama vyote.

Mimi naomba mamlaka husika hawa watoa mikopo online zipunguwe kama hawa watu wanaoitwa Pesa X hawana lugha nzuri kabsa.
Msikope!
 
Back
Top Bottom