Bado wapo mpaka leo? Mm tulipelekeana moto mpaka leo kunikopesha hawawez. Na mbona walishafungiwa hao?Pesa X jamn hawa watu wa mikopo hawana lugha nzl wanatuma lugha chafu vitisho mtu anaambiwa atalipa tar 28 yote na apo imepita siku 2 sms za vitisho kama vyote.
Mimi naomba mamlaka husika hawa watoa mikopo online zipunguwe kama hawa watu wanaoitwa Pesa X hawana lugha nzuri kabsa.
😁😁Bado wapo mpaka leo? Mm tulipelekeana moto mpaka leo kunikopesha hawawez. Na mbona walishafungiwa hao?
Msikope!Pesa X jamn hawa watu wa mikopo hawana lugha nzuri wanatumia lugha chafu vitisho mtu anaambiwa atalipa tar 28 yote na apo imepita siku 2 sms za vitisho kama vyote.
Mimi naomba mamlaka husika hawa watoa mikopo online zipunguwe kama hawa watu wanaoitwa Pesa X hawana lugha nzuri kabsa.