A
Anonymous
Guest
Kama unashindwa kulipia mzigo wako hauwezi kutoka ukifika port of discharge, ina maana wanapingana na agizo la Waziri wa Fedha kuwa malipo yote tufanye kwa Tsh, na kwanini tulipe kwa dollars wakati wana account mbili moja ni tsh ambayo ni Account Name NYOTA TANZANIA LTD Account no ni TSH 100-269-121
Na ya hii ni ya usd : USD 100-269-056, sasa sisi wateja dollar tunazitoa wapi wakati hakuna?
Pia soma
- Mwigulu: Shilingi itumike. Kama unataka kupokea kwa Dola, nenda kajenge Marekani
Na ya hii ni ya usd : USD 100-269-056, sasa sisi wateja dollar tunazitoa wapi wakati hakuna?
Pia soma
- Mwigulu: Shilingi itumike. Kama unataka kupokea kwa Dola, nenda kajenge Marekani