Kampuni ya Pamba (Biosustain) mkoani Singida inafanya uhalifu dhidi ya binadamu

MEXICANA

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
1,777
Reaction score
2,040
Hili kampuni linawatesa mawakala na wadhamini wao ambao wamekula short katika ukusanyaji wa pamba mwaka jana. Mawakala hao wamefungwa kwenye lock up ya kiwanda ambayo imejiwekea yenyewe kinyume na sheria na taratibu za nchi, huku wakiwalazimisha walipe papo hapo madeni wanayowadai kwa kuwatesa na kuwanyima chakula watu hao.

Hata Hivo mawakala hao wamekosoa utaratibu unaofanywa na kampuni hili wa kuwabambikizia madeni makubwa ambayo si haki yao kuyalipa. Vyombo Vya dola sjui kama vinaljua hili.

Pia Mawakala hao wamelalamikia weghing bridge ya kiwandani hapo kuwa ilikuwa inakata kilo 200 kwa kla tripu moja ya usafirishaji.

Cha ajabu kampuni hili halipeleki watuhumiwa polisi wala mahakamani.
 
hivi hii habari ni ya ukweli?? maana ni seriouz case
 
hivi hii habari ni ya ukweli?? maana ni seriouz case
Inaweza kuwa serious. Makampuni mengi sana ya ununuzi wa pamba yanafanya unyanyasaji na wizi/dhuluma kwa mawakala. lakini hili la kuweka watu lockup nimeshangaa sana. ni kinyume cha sheria. kama kweli wamefanya vile basi ni mbinu za kuhakisha wanapata pesa yao, ingawa si utaratibu wa kisheria. Makampuni mengi ya ununuaji pamba kanda ya ziwa yamekuwa yakipata hasara baada ya kuzulumiwa ma mawakala, wengi hukimbia na hata wakikamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria huachiwa huru
 
mzee wa majipu si atalala nao mbele sasa
 
mzee wa majipu si atalala nao mbele sasa
yangekuwa makampuni ya mkoani shinyanga ningekataa lakini kwa hili sina shaka na habari hii.Hawa jamaa wananyanyasa sana wakulima tofauti na wakina GAKI,AHAM,JAMBO
 
hivi hii habari ni ya ukweli?? maana ni seriouz case
muda si mrefu itakuwa imehit hii inshu kna wadishi wa habari walifika kuchukua habari sjui wamefkia wapi
 
mkuu ni kweli kabisa,ndio maana hawa jamaa hawapeleki kesi mahakamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…