aisee Fanya basi mpango wa kazi mkuu
siasa tena?Wakati bavicha wakihubiri ugumu wa maisha, wanaume wa kazi wanaingiza mabasi mapya
Mabasi ya Kimbinyiko ya ssa tano kwenda Dodoma yana executive seat pale mbele nafikiri 1 by 1(kama sijasahau mana nimeshaacha kutumia huu usafiri) then kwanyuma pia kuna 2 by 1 sasa unaposema mwa zo mwisho unamanisha nini? Tunaomba ufafanuzisibahatishi nisemacho, hata ratco zilikuwepo. ila hakuna za kuanzia mwanzo hadi mwisho hakuna zaidi ya Tahmeed. pia nikukumbushe hatupo hapa kubishana
Mama kwa hakika serikali ya Tanzania haikukosea kuipa cheti cha ushindi kwa mabus ya Tahmeed. Sasa Tahmeed wamezidi kudhihirisha kuwa wataendelea kuwa vinara kwa vipindi vyote na kukosa mpinzani kwa kuleta mabus mapya aina ya zhongtong ambayo ndani yana muonekano kama ndege za boeing ,kwani hadi sasa ndio mabus pekee yenye siti za 2 by 1 mwanzo hadi mwisho wa bus. niliwahi kuwaahidi miezi minne nyuma kuwa watanzania wajiandae kwa ugeni huu mzito.
View attachment 465297 View attachment 465298 View attachment 465299
Tahmeed coach
your comfort
is our concern
Jirani kaumbwa!!Ni jirani yetu hapo Nairobi.
Tujipitie mkuu binadamu kashashiba embe msimu wa njaa maneno yanamtoka.Mbona kuna kampuni ya shabiby na Tabora One zina mabasi hayo toka dar tabora na dar dom kila siku toka 2015! Jitahidi kufanya tafiti kabla ya kuandika, usije andika utumbo broh.
Ulipie na TANGAZO mkuu. Ila mabasi yao mazuri sana. Huwa napanda nikiwa na safari zangu za Arusha.
yao=YENU. ni mtindo wa nyuzi zake tu mkuu. wanaume wa tz hawasifii uzuri wa nyumba ya jirani.Ulipie na TANGAZO mkuu. Ila mabasi yao mazuri sana. Huwa napanda nikiwa na safari zangu za Arusha.
Yanazidi bombarder ya JMPianaMama kwa hakika serikali ya Tanzania haikukosea kuipa cheti cha ushindi kwa mabus ya Tahmeed. Sasa Tahmeed wamezidi kudhihirisha kuwa wataendelea kuwa vinara kwa vipindi vyote na kukosa mpinzani kwa kuleta mabus mapya aina ya zhongtong ambayo ndani yana muonekano kama ndege za boeing ,kwani hadi sasa ndio mabus pekee yenye siti za 2 by 1 mwanzo hadi mwisho wa bus. niliwahi kuwaahidi miezi minne nyuma kuwa watanzania wajiandae kwa ugeni huu mzito.
View attachment 465297 View attachment 465298 View attachment 465299
Tahmeed coach
your comfort
is our concern