Kampuni ya ujenzi, namba ya kuanzisha, ushauri, na vifaa

Kampuni ya ujenzi, namba ya kuanzisha, ushauri, na vifaa

Mr sule

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2021
Posts
606
Reaction score
1,110
Habari JF

Nina plan ya kuanzia kampuni ya ujenzi na nimekuja kwenu kuomba ushauri katika hili namna ya ku manage ofisi kama hii.

Malengo yangu ni kuanzisha huduma ya
Ujenzi wa nyumba.
kupaka Rangi.
huduma ya bomba
na Umeme.

Naomba ushauri njia sahihi ya ku manage ofisi hii, namna ya kuajiri, vifaa vinavyotakiwa, mishahara ya wafanyakazi, njia bora ya kujudumia wateja na mambo mengine yanaohusiano na ujenzi tajwa hapo juu.

Katika Plan zangu za kufanya biashara, hii biashara inaweza kunilipa.

NB: uwezo wa kusajili na kununua vifaa ninao, ila sina uzoefu namna sahihi ya kuendesha na vifaa gani vizuri zinahitajika.

Asante
 
Mr sule ukitaka kufungua kampuni unaanzia BRELA kule unasajiri jina na kampuni ni rahisi tu pitia kwenye tovuti yao www.brela.go.tz na mambo yote ni online

Ukikamilisha usajiri BRELA unaenda CRB (Contractors Registration Board) kwa ajili ya kusajiri kampuni ya ujenzi
CRB wao wana madaraja tofauti kuna kampuni za ujenzi wa miundombinu ya barabara pia kuna kampuni za ujenzi wa majengo na zote hizi zimegawanyika kuna daraja la chini kabisa (Class 7) hadi daraja na juu kabisa ( Class 1)

Kila daraja lina mahitaji na vigezo tofautu, ukipitia kwenye tovuti yao utapata maelezo zaidi (www.crb.go.tz)

Lakini pia ukiona unapata changamoto siku hizi kuna kampuni zinazojihusisha na kusaidia kusajiri makampuni, ukiwaona wao wanashughulika na kila kitu kuanzia BRELA hafi huko CRB wewe unawalipa wao wanapambana hadi kampuni inakamilika

Jambo la msingi sana naweza kukushauri ni vzr ukapata mtaalamu wa masuala ya ujenzi mfano Mhandisi (Civil Engineer) mkaingia makubaliano ya kushiriana kwa sababu hata kwenye usajiri kuna baadhi ya madaraja yanahitaji uwe na mtu mwenye profession hiyo
 
Mr sule ukitaka kufungua kampuni unaanzia BRELA kule unasajiri jina na kampuni ni rahisi tu pitia kwenye tovuti yao www.brela.go.tz na mambo yote ni online

Nashukuru kwa msaada wako.

Swala la kufugua kampuni hili nimeshamaliza, hii huduma itakuwa inatolewa ndani ya kampuni, ila changamoto ni namna ya kuendesha maswala kama mikayaba ya wafanyakazi, vifaa vinavyohitaji.

vitu kama hivyo naomba kushauriwa.

Asante
 
Nashukuru kwa msaada wako.

Swala la kufugua kampuni hili nimeshamaliza, hii huduma itakuwa inatolewa ndani ya kampuni, ila changamoto ni namna ya kuendesha maswala kama mikayaba ya wafanyakazi, vifaa vinavyohitaji.

vitu kama hivyo naomba kushauriwa.

Asante
Usiajiri wafanyakazi wengi kwa sasa itakusumbua, tafuta watu wachache wa kuanza nao, chukua mofomeni kama wawili wa kuanza kuzungukia miradi yako ukiipata, kwa kuwa unaanza mafundi unawapa kazi za mauzo ukikaa sawa baadae unaweza kuwa na mafundi wako wachache uliowaajiri
 
Kuna ugumu utaupata hasa ukizingatia wewe si wa fani ya ujenzi na hakuna unalolielewa , ili biashara yako isimame unahitaji kupata Civil Engineer mzuri hata mmoja ambaye atajitolea kufanya kazi kwa moyo wote.

Ukiwa hujui kiyu kabisa kama unavyosema ni rahisi hata kuzungukwa.
 
Duuh, ninavyofahamu kampuni nyingi za Ujenzi lazima uwe engeneer ndo unaweza kumanage maana kuna mambo mengi utakuwa hujui!!

Hata mtu kukupa contract ya ujenzi kama wewe siyo engeneer atakupa je? Labda ufanye partner na engeneer tofauti na hapo itakuwia ngumu sana kutoboa!!

Na lingine ni rahisi sana kuzungukwa na miradi yako ikaharibika au kufanywa chini ya kiwango!! Na itakuwa hasara kwako!!

Nakushauri uende ukasome angalau miaka miwili kuhusu mambo ya ujenzi utapata ABC's kadhaa zitakazo kusaidia!! Angalau hata kama utapatner na Engeneer utakuwa tayari unajua mambo kadhaa siyo rahisi kazi yako kuharibiwa sana!!

Ila kama hujui chochote na unataka kufanya, ni ngumu sana!!
 
Kuna ugumu utaupata hasa ukizingatia wewe si wa fani ya ujenzi na hakuna unalolielewa , ili biashara yako isimame unahitaji kupata Civil Engineer mzuri hata mmoja ambaye atajitolea kufanya kazi kwa moyo wote.

Ukiwa hujui kiyu kabisa kama unavyosema ni rahisi hata kuzungukwa.

Hivi hii inaweza kufaa ikiwa nitaanza na bomba, kupaka rangi na kuweka umeme.

Yaani sisi tutakuwa tunaungia baada ya ujenzi wa nyumba
 
Duuh, ninavyofahamu kampuni nyingi za Ujenzi lazima uwe engeneer ndo unaweza kumanage maana kuna mambo mengi utakuwa hujui!!

Hata mtu kukupa contract ya ujenzi kama wewe siyo engeneer atakupa je? Labda ufanye partner na engeneer tofauti na hapo itakuwia ngumu sana kutoboa!!

Na lingine ni rahisi sana kuzungukwa na miradi yako ikaharibika au kufanywa chini ya kiwango!! Na itakuwa hasara kwako!!

Nakushauri uende ukasome angalau miaka miwili kuhusu mambo ya ujenzi utapata ABC's kadhaa zitakazo kusaidia!! Angalau hata kama utapatner na Engeneer utakuwa tayari unajua mambo kadhaa siyo rahisi kazi yako kuharibiwa sana!!

Ila kama hujui chochote na unataka kufanya, ni ngumu sana!!

Nina nia ya kuwa na mtu wa kuwa nae karibu aliesomea.

Ila nataka nipate taarifa za awali kabla kuweka kwenye plan zangu
 
Duuh, ninavyofahamu kampuni nyingi za Ujenzi lazima uwe engeneer ndo unaweza kumanage maana kuna mambo mengi utakuwa hujui!!

Hata mtu kukupa contract ya ujenzi kama wewe siyo engeneer atakupa je? Labda ufanye partner na engeneer tofauti na hapo itakuwia ngumu sana kutoboa!!

Na lingine ni rahisi sana kuzungukwa na miradi yako ikaharibika au kufanywa chini ya kiwango!! Na itakuwa hasara kwako!!

Nakushauri uende ukasome angalau miaka miwili kuhusu mambo ya ujenzi utapata ABC's kadhaa zitakazo kusaidia!! Angalau hata kama utapatner na Engeneer utakuwa tayari unajua mambo kadhaa siyo rahisi kazi yako kuharibiwa sana!!

Ila kama hujui chochote na unataka kufanya, ni ngumu sana!!
Utajisumbua tu tuna kampuni ya ujenzi na hatujasoma hata mmoja engineering japo ni vizuri kusomea engineering ila ukipata mfanyakazi engineer na kama una muda wa kukaa saiti kumonitor kinachofanyika
 
Back
Top Bottom