amba.nkya
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 446
- 131
Na Sadick Mtulya
HATIMAYE Pascal Mnaku, mlinzi wa kampuni ya Ultimate Security aliyepambana na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, kwenye mashine ya kuchukulia fedha (ATM) jijini Dar es Salaam, amefukuzwa kazi na muajiri wake huyo.
Ni kawaida kwa kampuni ya Ultimate Security kufukuzisha hovyo wafanyakazi wake. Ieleweke kuwa sio huyo tu mlinzi wa ATM aliyefukuzwa kutokana na Mh Ngeleja bali kuna wafanyakazi wengi wanafukuzwa hovyo bila kufuata taratibu zinazozingatia sheri za kazi. Kuna malalamiko mengi sana kutoka kwa wafanyakazi wa kamapuni hiyo kuhusiana na kufutwa kazi hovyo .! Inasikitisha zaidi pale wanapojaribu kufuatilia haki zao hawapati msaada kutoka vyombo husika. Kazi kwetu wanaJF tufanyeje kupambana na udharimu huuu ?
HATIMAYE Pascal Mnaku, mlinzi wa kampuni ya Ultimate Security aliyepambana na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, kwenye mashine ya kuchukulia fedha (ATM) jijini Dar es Salaam, amefukuzwa kazi na muajiri wake huyo.
Ni kawaida kwa kampuni ya Ultimate Security kufukuzisha hovyo wafanyakazi wake. Ieleweke kuwa sio huyo tu mlinzi wa ATM aliyefukuzwa kutokana na Mh Ngeleja bali kuna wafanyakazi wengi wanafukuzwa hovyo bila kufuata taratibu zinazozingatia sheri za kazi. Kuna malalamiko mengi sana kutoka kwa wafanyakazi wa kamapuni hiyo kuhusiana na kufutwa kazi hovyo .! Inasikitisha zaidi pale wanapojaribu kufuatilia haki zao hawapati msaada kutoka vyombo husika. Kazi kwetu wanaJF tufanyeje kupambana na udharimu huuu ?