Kampuni ya Zikiii yamjibu Diamond, yamtaka afuate masharti ya mkataba na makubaliano!

Kampuni ya Zikiii yamjibu Diamond, yamtaka afuate masharti ya mkataba na makubaliano!

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Diamond baada ya kulalamika kuwa kampuni ya Ziiki Media haitakiwa watoe wimbo wake na hivyo wana mpango wa kuhuishusha lebel hiyo na mziki wake na wasanii wake!

Kampuni hiyo nayo imemjibu Diamond kwa kumwambia afate utaratibu na makubaliano kati yao na asivunje utaratibu na makubaliano baini yao! Wao kama kampuni watahakikisha wanalinda makubaliano yao na kulinda hayo makubaliano!

NB: Diamond anatakiwa kufata utaratibu wa mkataba wa makubaliano kama yeye anavyo wasainisha wasanii wake mikataba na kumtaka aifate na yeye inapaswa afate na kuheshimu makubaliano yao!

Unaweza soma hapa tamko la Kampuni ya ZiiKi Media

IMG_2250.jpeg
 
Kumbe zilikuwa ni "Kick" tu.

Kwa maelezo yaliyotolewa na ZIIKI inaonekana kama kwamba wao kina Diamond wametengeneza ugomvi bandia ili watu wajue kuwa kuna wimbo unaitwa KIBANGO unakuja.

Kwani nyimbo zao zingine zilitolewa na ZIIKI zilichukua siku ngapi? Iweje ya KIBANGO ndiyo lizuke vurumai la kusema kwamba wimbo wao unabaniwa!!??
 
Kumbe zilikuwa ni "Kick" tu.

Kwa maelezo yaliyotolewa na ZIIKI inaonekana kama kwamba wao kina Diamond wametengeneza ugomvi bandia ili watu wajue kuwa kuna wimbo unaitwa KIBANGO unakuja.

Kwani nyimbo zao zingine zilitolewa na ZIIKI zilichukua siku ngapi?/ Iweje ya KIBANGO ndiyo lizuke vurumai la kusema kwamba wimbo wao unabaniwa!!??
Sasa si upload tu YouTube.
 
Kumbe zilikuwa ni "Kick" tu.

Kwa maelezo yaliyotolewa na ZIIKI inaonekana kama kwamba wao kina Diamond wametengeneza ugomvi bandia ili watu wajue kuwa kuna wimbo unaitwa KIBANGO unakuja.

Kwani nyimbo zao zingine zilitolewa na ZIIKI zilichukua siku ngapi?/ Iweje ya KIBANGO ndiyo lizuke vurumai la kusema kwamba wimbo wao unabaniwa!!??
Atakuwa alikuwa ana tafuta kick au amesahau kuwa alisaini mkataba na anapaswa kuutumikia 😂😂😂😂
 
Mambo ya wasanii yamekaa kisanii sanii yani hii ni issue ya kawaida sana haihitaji kujadiliwa unless kama Lavalava amekufa.
 
Kweli hakuna umaarufu mbaya,ziikiiki wenyenye ndio nawajua Leo.Well played vijana well played Kwa kushirikiana na huyo monde mmeweza kujulikana kuwa na nyie ni platform.
 
Hii ni official statement na inatolewa kihuni hivii, duuh!
Nilitaka kumuhoji mtoa mada ana uhakika hiyo barua imetoka Ziiki Media? Barua imekaa Kiswahili sana mipasho mitupu.
 
Back
Top Bottom