Kampuni za Alpha hazilipi kodi!


Nashangaa thread kuhamishiwa kwenye business wakati inamhusu mwanasiasa mahiri. Hata hivyo wana JF ni vizuri wakaelewa kwamba huyu jamaa kila dakika huwa anakuja na mbinu mpya zaidi ya kuuibia nchi maana inasemekana pia kwamba kwa kushirikiana na TRA, kuna migawo wanaipata on a monthly basis kutoka katika makusanyo ya kodi. Sasa kwa syndication hii unategemea kuna mkubwa wa TRA ambaye atapaza sauti. Taarifa hizi nyeti zimevujishwa na wale wafanyakazi wa kada ya kati na wenye uchungu na nchi hii.
 

Yote yaliyosemwa kuhusu waziri mkuu 'mstaafu' yanatosha sasa.
Kuna mambo mawili ya kufanya hapa.
1.Afunguliwe mashtaka sheria ichukue mkondo wake.
2.Tuendelee kupiga soga kumuhusu huyu mheshimiwa sana.
 
Mimi nilishaacha kupeleka nguo zangu pale Alpha Dry Cleaners toka nilipogundua kwamba namfaidisha fisadi huyu ili aendelee kutuibia watanzania. Lakini huyu Kitilya pale TRA amechanjia au ni kwa baba yake. Haya yote yanatokea chini yake na kwa kweli kama Chechetuka alivyosema yeye na mtoto wa huyo mwizi wetu ni chanda na pete!
 
Yote yaliyosemwa kuhusu waziri mkuu 'mstaafu' yanatosha sasa.
Kuna mambo mawili ya kufanya hapa.
1.Afunguliwe mashtaka sheria ichukue mkondo wake.
2.Tuendelee kupiga soga kumuhusu huyu mheshimiwa sana.

Heshima kwako mkuu. Lakini sauti za wanaomlilia Mungu hazipotei bure. Iko siku Mungu atawatia ujasiri wale wenye mamlaka na kuwatendea haki watu hawa!
 

samahani naomba kujua kama manywele entertainment ni yake pia.
 
Heshima kwako mkuu. Lakini sauti za wanaomlilia Mungu hazipotei bure. Iko siku Mungu atawatia ujasiri wale wenye mamlaka na kuwatendea haki watu hawa!

Kwa Mungu mbali mkuu.Naombeni tenda ni deal na huyu mstaafu kichina china
 
haya sasa mwashudia wenyewe huyu ndiye anayetaka kushika nchii hii yangu macho mtoto wake ana biashara nyingi sana za utapeli wa kuwaibia watanzania wako na kaofisi kao kengine pale maeneo ya ubalozi wa marekani ukifika pale kazi zao azijulikani ni magari ya kifahali na mtoto wa lowasa muda mwingi anakuwa pale na mkwe wake lowasa pia wanakuwepo ni muda wote unakuta wako bize yan kweli hawa watu wanatupeleka pabaya sana jaman lowasa huyu iko siku yake
 
samahani naomba kujua kama manywele entertainment ni yake pia.

Hebu mpe heshima yake bwana! Yaani yeye aingie biashara ya kuuza kucha za bandia na wigs ndo ifanywe na mkubwa huyu? Ile ni ya mabinti wa mjini hapa!
 

Nashangaa Dr. wa ukweli alipomlalamikia Ridhiwani huyu alimwacha kwa sababu ipi (kama siyo kukwepesha hoja) maana utajiri wa kijana huyu kamwe hauendani na umri wala background yake. Jamaa inasemekana yumo hata kwenye dili za unga na kufanya money laundering ya maharamia wa kisomali. Ndiye huyu aliyenunua nyumba London tena kwa transfer ya fedha ambayo wala haikuzingatia sheria ya fedha za kigeni na nia hakika hata Benki Kuu haikupata kujulishwa kuhusu jambo hili. Hawa jamaa ni mzigo mzito ambao watanzania wamefungwa nao na haijulikani tutautua lini!
 
Mzee! huyu udobi wake siyo kama ule wa wazee wa kule mjini wenye kameza na pasi ya mkaa. Mwenzio kawekeza kweli kweli na nasikia analazimisha mahoteli kupeleka mashuka na mataulo kwake vinginevyo kodi wanapandishiwa na kutishiwa kulipuliwa kwamba hawalipi kodi. Jamaa amekuwa akimchochea boss wa TRA kuwa-black mail wafanyabiashara ili hatimaye wamuunge mkono au vinginevyo biashara zao zipigwe kufuli na kupewa mizigo ya kodi bandia. Iko kampuni moja ya wanafamilia wawili ambao sasa wamelazimika kuunga mkono harakati zake za urais ili kunusuru biashaa zao.
 

Hakuna mtu,watu,idara,taasisi,paka,au shirika la kuchukua hatua?
 

Fagio la chuma latakiwa lianzie kumwondoa mheshimiwa mstaafu na lishuke chini kwa hawa vibaraka wake walio kwenye taasisi mbalimbali nchini.
vinginevyo kila siku yatakuwa yanaibuka mapya tena yatakuja mazito zaidi kwa sababu ana vimba kichwa kwa kutokuchukuliwa hatua zozote
 
Kwa uzoefu wetu, jamaa wa TRA watapiga kimya kana kwamba hakuna kinachozungumzwa.
 

Hapa umenena mkuu. Jamaa ana jeuri ya ajabu na kama ulivyosema ataanza kuiba hata vyungu vya maua pale ikulu
 
Hapa umenena mkuu. Jamaa ana jeuri ya ajabu na kama ulivyosema ataanza kuiba hata vyungu vya maua pale ikulu

I wish utekelezaji uanze mapema iwezekanavyo kwani nimechoka kusikia habari za kina RACHEL.
 
Jee mukifanya mgomo wa business zake kama hizo za dry cleaning hazitasaidia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…