Kampuni za Bima hujinadi kumsaidia muhanga pale mali zake zinapopatwa na uharibifu kumfidia aidha kwa kumpa pesa, kumrekebishia au kumbadilishia mali nyingine.
Je, mali yako uliyoikatia bima ilipoharibika walikusaidia kweli au ni uswahili?
Kwenye fidia
Je, mali yako uliyoikatia bima ilipoharibika walikusaidia kweli au ni uswahili?
Kwenye fidia
- Matengenezo yalikuwa ya kiwango kinachoridhisha?
- Fidia ya pesa iliendana na thamani ya mali?
- Mali iliyobadilishwa ina ubora kama mali ya mwanzo?