Kampuni za Kitanzania zahimizwa kuchangamkia zabuni Comoro

Kampuni za Kitanzania zahimizwa kuchangamkia zabuni Comoro

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Kampuni za Kitanzania Zahimizwa Kuchangamkia Zabuni Comoro

Kampuni za Kitanzania zimetakiwa kuomba kandarasi za ujenzi wa miradi inayofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Ufaransa visiwani Comoro

Hayo yameelezwa wakati wa mazunguzo kati ya Balozi wa Tanzania, Comoro, Mhe. Saidi Yakubu na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa, Comoro, Bi Rejane Hugouneno De Vreyer yaliyofanyika Moroni Machi 12, 2025.

Bi. De Vreyer alimweleza Balozi Yakubu kuwa Shirika lake linafadhili miradi na programu zenye thamani takriban Euro Milioni 113 kwa mwaka katika sekta za Afya, Ujenzi, Tehama na pia kutoa ushauri katika maeneo ya mifumo ya kodi, bajeti na maboresho ya sera.

Alisema kuwa miradi yote hiyo hutolewa kwa kandarasi za kimataifa na kutoa mwaliko kwa kampuni za Kitanzania kuchangamkia fursa hizo.

Kwa upande wake, Balozi Yakubu alimweleza Bi De Vreyer kuwa Tanzania ina ushirikiano mkubwa na Comoro katika maeneo yote aliyoyazungumzia na kwa hivi sasa wamekwishaanza kualika kampuni za Kitanzania kuchangamkia fursa za zabuni zinazotangazwa visiwani Comoro.

IMG-20250312-WA0056.jpg
 
Kampuni za Kitanzania Zahimizwa Kuchangamkia Zabuni Comoro

Kampuni za Kitanzania zimetakiwa kuomba kandarasi za ujenzi wa miradi inayofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Ufaransa visiwani Comoro

Hayo yameelezwa wakati wa mazunguzo kati ya Balozi wa Tanzania, Comoro, Mhe. Saidi Yakubu na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa, Comoro, Bi Rejane Hugouneno De Vreyer yaliyofanyika Moroni Machi 12, 2025.

Bi. De Vreyer alimweleza Balozi Yakubu kuwa Shirika lake linafadhili miradi na programu zenye thamani takriban Euro Milioni 113 kwa mwaka katika sekta za Afya, Ujenzi, Tehama na pia kutoa ushauri katika maeneo ya mifumo ya kodi, bajeti na maboresho ya sera.

Alisema kuwa miradi yote hiyo hutolewa kwa kandarasi za kimataifa na kutoa mwaliko kwa kampuni za Kitanzania kuchangamkia fursa hizo.

Kwa upande wake, Balozi Yakubu alimweleza Bi De Vreyer kuwa Tanzania ina ushirikiano mkubwa na Comoro katika maeneo yote aliyoyazungumzia na kwa hivi sasa wamekwishaanza kualika kampuni za Kitanzania kuchangamkia fursa za zabuni zinazotangazwa visiwani Comoro.
Watupe NeST yao basi, au tunashirikije?
 
Kampuni za Kitanzania Zahimizwa Kuchangamkia Zabuni Comoro

Kampuni za Kitanzania zimetakiwa kuomba kandarasi za ujenzi wa miradi inayofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Ufaransa visiwani Comoro

Hayo yameelezwa wakati wa mazunguzo kati ya Balozi wa Tanzania, Comoro, Mhe. Saidi Yakubu na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa, Comoro, Bi Rejane Hugouneno De Vreyer yaliyofanyika Moroni Machi 12, 2025.

Bi. De Vreyer alimweleza Balozi Yakubu kuwa Shirika lake linafadhili miradi na programu zenye thamani takriban Euro Milioni 113 kwa mwaka katika sekta za Afya, Ujenzi, Tehama na pia kutoa ushauri katika maeneo ya mifumo ya kodi, bajeti na maboresho ya sera.

Alisema kuwa miradi yote hiyo hutolewa kwa kandarasi za kimataifa na kutoa mwaliko kwa kampuni za Kitanzania kuchangamkia fursa hizo.

Kwa upande wake, Balozi Yakubu alimweleza Bi De Vreyer kuwa Tanzania ina ushirikiano mkubwa na Comoro katika maeneo yote aliyoyazungumzia na kwa hivi sasa wamekwishaanza kualika kampuni za Kitanzania kuchangamkia fursa za zabuni zinazotangazwa visiwani Comoro.

View attachment 3267784
Please receive an international tender advert for ICT project within the Ministry of Finance,Budget and Banking Sector here in Comoros.

The tender is worth €7,757,005 and Tanzanian Companies can apply.

Please circulate in your network.Further details can be found online as per the advert.

I have sent both the original advert in French and the English translation.

All the best!
 

Attachments

Back
Top Bottom