BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Itakua anamaanisha Landcruiser V8 inabidi utuzoee mkuu kwani hujawahi kusikia natafuta gari namba "D" wakati D ni herufi mkuuV8 ni gari gani mkuu?
dodge
Hahaha sawa mkuu ngoja na mimi nikakodishe 'tako la nyani'.Itakua anamaanisha Landcruiser V8 inabidi utuzoee mkuu kwani hujawahi kusikia natafuta gari namba "D" wakati D ni herufi mkuu
Itakua anamaanisha Landcruiser V8 inabidi utuzoee mkuu kwani hujawahi kusikia natafuta gari namba "D" wakati D ni herufi mkuu
Wacheki Travel Partner kwa gari hizo.Habari
Kwa mkoa wa Dar es Salaam, ni zipi kampuni best kwa kukodisha magari?
Na je mtu anaweza kupata choice ya magari yafuatayo:
- Range Rover
- Audi
- Landcruiser V8
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msameheni huyu, bado ajamiliki gari. Maana ukiwa na gari naukaenda gereji. Maneno machafu ya kihuni lazima uyasikieItakua anamaanisha Landcruiser V8 inabidi utuzoee mkuu kwani hujawahi kusikia natafuta gari namba "D" wakati D ni herufi mkuu
Haya kanywe maji upunguze hasira mama Sarah.Msameheni huyu, bado ajamiliki gari. Maana ukiwa na gari naukaenda gereji. Maneno machafu ya kihuni lazima uyasikie