Angyelile99
Member
- Oct 9, 2023
- 89
- 164
Hivi kuna haja gani ya kumlamisha mteja kupata huduma ambayo hana haja nayo?. Mtu anahitaji kuunga kifurushi cha data yaani internet bundle, lakini anapewa dakika ama na sms bundle.
Sasa kwanini usiwekwe utaratibu wa uwanja mpana wa machaguzi ya vifurushi ili kumfanya mnunuzi kuwa huru zaidi? Kuna wizi wa kidigitali unaofanyika kwa wananchi. Zile percent za bundle asilolitumia huwa zinaelekea wapi?
Sasa kwanini usiwekwe utaratibu wa uwanja mpana wa machaguzi ya vifurushi ili kumfanya mnunuzi kuwa huru zaidi? Kuna wizi wa kidigitali unaofanyika kwa wananchi. Zile percent za bundle asilolitumia huwa zinaelekea wapi?