Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Msemaji wa Yanga, Ali Kamwe
"Ahmed Ally anaomba usiku na mchana kocha wetu afukuzwe. Tangu jana nimemuona akifanya Media Tour kwenye vyombo mbalimbali vya habari, lakini yeye ndiye anayetakiwa afukuzwe kwenye mpira wetu."
"Mmesahau miaka miwili iliyopita aliwahi kupost kwenye ukurasa wake wa Instagram akaandika kuwa ligi yetu ni dhaifu, baada ya siku mbili akaomba radhi".
"Ahmed Ally anaomba usiku na mchana kocha wetu afukuzwe. Tangu jana nimemuona akifanya Media Tour kwenye vyombo mbalimbali vya habari, lakini yeye ndiye anayetakiwa afukuzwe kwenye mpira wetu."
"Mmesahau miaka miwili iliyopita aliwahi kupost kwenye ukurasa wake wa Instagram akaandika kuwa ligi yetu ni dhaifu, baada ya siku mbili akaomba radhi".