Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WeBunge la bajeti limepita bila mpango maalumu wa kukabiliana na corona.
Hatima yake tunataka kuwekeza mapambano dhidi ya corona kwa kitumia hisani za WHO,USA n.k.
Tuamshe bongo zetu na tuje na majibu kamili
Wewe ulikuwa mwimba pambio mtiifu tena kwa sauti kuu tangu awamu tangulizi,endelea kuimba pambio,tena kwa umoja wa wanakijani mlikataa uwepo wa hatari ya corona na mkalaani hata utumiaji au kusikia habari ya chanjo,leo unasemaje tena?nimesahau tasafali ndugu yangu Jingalao nikumbushe.😂Bunge la bajeti limepita bila mpango maalumu wa kukabiliana na corona.
Hatima yake tunataka kuwekeza mapambano dhidi ya corona kwa kitumia hisani za WHO,USA n.k.
Tuamshe bongo zetu na tuje na majibu kamili
Bunge la bajeti limepita bila mpango maalumu wa kukabiliana na corona.
Hatima yake tunataka kuwekeza mapambano dhidi ya corona kwa kitumia hisani za WHO,USA n.k.
Tuamshe bongo zetu na tuje na majibu kamili
Lambda juice lishe pia,huenda bado ina msaada kwani muda hatujaletewaa tena mrejeshoVipi kuhusu ndimu?Bado itafua dafu?
View attachment 1867669
Kwani kama za uchimi zinapikwa,je za kupata shibe itakuwaje?matokeo ya misaada ni kuanza kupika takwimu hewa za wagonjwa?
Unaweza kunionesha thread ya pambio ?We
Wewe ulikuwa mwimba pambio mtiifu tena kwa sauti kuu tangu awamu tangulizi,endelea kuimba pambio,tena kwa umoja wa wanakijani mlikataa uwepo wa hatari ya corona na mkalaani hata utumiaji au kusikia habari ya chanjo,leo unasemaje tena?nimesahau tasafali ndugu yangu Jingalao nikumbushe.😂
Uziri wa jamvi hili halipotezi kitu,ukifanyacho humu ni kumbukumbu ya maisha yako au nasema uongo ndugu zangu?Unaweza kunionesha thread ya pambio ?
Na kale kadawa chetu pendwa cha Madagascar je?😁😁😁Lambda juice lishe pia,huenda bado ina msaada kwani muda hatujaletewaa tena mrejesho
Binafsi sikubahatikauionja,sijui wenzanguNa kale kadawa chetu pendwa cha Madagascar je?😁😁😁
View attachment 1867685
Tulia dawa ikuingie,vinginevyo uje hapa jamvini na kutubu kama baadhi ya wenzako.Lete huo ushahidi uliokuwa unadai unao eti naimba mapambio.