Kumdharau mtu/kumdhihaki au kumu attack haikusaidii kituNaona baada ya Kujitahidi kutuma Maombi ya kuwa Mke wake Mbadala Kubuma sasa umeamua Kujikomba hivi Kwake ili labda aweze Kukufikiria.
Mkuu mzukulu toa hoja acha kutukana watuKwani hakuna Wanaume wengine hadi Ujikombe / Ujipendekeze hivi Kwake wakati unajua kuwa hakutaki na Kidevu chako hicho kama Kichuguu?
Katika serikali hii lolote laweza kutokea...usijiaminishe..mkulu hatabirikiKuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.
Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.
Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.
Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.
Wewe kwa nini unatumia Avtra yangu?Hongera comrade...unauwezo na ninaamini awamu hii..utaingia mjengoni
Uwezo unao,Nia unayo na sababu unazo
THAT WILL BE INTERESTING! 😅Christian minority nao wana haki ya kuitawala zbr.
Mwaka huu rais ni mkristu watake wasitake
Zanzibar kwa mara katika historia kuongozwa na Rais mkristu.THAT WILL BE INTERESTING! [emoji28]
Gentamycine kuna tatizo linakusumbua. Tafuta ufumbuzi ASAP kabla upopoma haujaingia kwenye ubongoNaona baada ya Kujitahidi kutuma Maombi ya kuwa Mke wake Mbadala Kubuma sasa umeamua Kujikomba hivi Kwake ili labda aweze Kukufikiria.
.... and the elections will be thrilling indeed! 😅Zanzibar kwa mara katika historia kuongozwa na Rais mkristu.
Majungu tu, John hamuogopi mtu yeyote si hapa nchini bali dunia nzima,yeyey anamuogopa Mungu tu,halafu wewe si Mungu unaweza kutangulia wewe mahala pa milelel na mzee wa watu akaendelea kudunda.Kuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.
Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.
Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.
Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.
Anza kuangalia wa kwanza hapa jf ni nani tutajua anayetumia ya mwenzake ni naniWewe kwa nini unatumia Avtra yangu?
Unaipenda nikuache?
Ongeza mkuu ndio muda huuNgoja niongeze speed ya kumsaka Polepole
P
Inamaana Mama hahusiki kabisa hapa!?
Rais ni yule kijana aliekuwa mambo ya ndani
Nadhani ni kwasababu uislamu umemfanya mwanamke ni duni na zenji 99% ni waislamuWazanziba kuongozwa na mwanamke never
Mamaaa, mama huyoooo!!mamaaa, mama huyo, mamaaa, mama huyo, mamaaaa!! Kimwa kingi kinamshindo lisilowezekana lawezakuwa. Muwe na kumbukumbu tu.
Acha uwongo wewe
Okay! Good!Ndio Jimbo la Mkanyageni 2000 -2005 keep record