Kamwe sitawaruhusu wanangu wasome Ili waajiriwe, napenda wasome kwa ajili ya kukiajiri

Kamwe sitawaruhusu wanangu wasome Ili waajiriwe, napenda wasome kwa ajili ya kukiajiri

Pambana sana, kuwa na hela

Somesha watoto, wao wenyewe watakuwa na option kwani hata kwenye kipaji pia wanaweza wasitoboe
 
  • Thanks
Reactions: o_2
Ajira kwa Sasa ni sawa na tatumzuka, ni uzalilishaji mtupu, kusoma kwa kutegemea kuajiriwa kunaongeza ufukara kwa wasomi, shahada saivi ni sawa na Bure.

Ni Bora mwanangu asomee kipaji chake na elimu ya pesa ambayo haifundishwi mashuleni.
Wape watoto wako elimu bora, mengine hayo waachie wenyewe watachagua "what works better for them", and "not for you". If you can understand the difference you'll be blessed 70 times 70.
 
Ajira kwa Sasa ni sawa na tatumzuka, ni uzalilishaji mtupu, kusoma kwa kutegemea kuajiriwa kunaongeza ufukara kwa wasomi, shahada saivi ni sawa na Bure.

Ni Bora mwanangu asomee kipaji chake na elimu ya pesa ambayo haifundishwi mashuleni.
Waache waajiriwe kwa muda ili wakija kujiajiri wajue katika uhalisia wake nini maana ya ajira
 
Wape watoto wako elimu bora, mengine hayo waachie wenyewe watachagua "what works better for them", and "not for you". If you can understand the difference you'll be blessed 70 times 70.
kwani ni lazima awape iyo elimu kwanza ndiyo awaachie wenyeww kuchagua?

na kwanini sio mimi kama mzazi nimpe ninachoona ni sahihi kwanza kutokana na mahitaji ya Dunia ya sasa ayo mengine aje kuchagua mimi nikiwa sijilaumu kusomesha kwa gharama kubwa alafu hakuna maendeleo?
 
Wape watoto wako elimu bora, mengine hayo waachie wenyewe watachagua "what works better for them", and "not for you". If you can understand the difference you'll be blessed 70 times 70.
Akikuelewa atabadilika pakubwa... kuna watu ni waajiriwa kwa mishahara ya milioni 50 kwa mwezi tena hapa hapa bongo...

So asi dictate sana mwanae kujiajiri.. awaaachie wanae waamue.... wala hii kujiajiri sio kwamba ndo solution ya kujikwamua kwa watu wote
 
kwani ni lazima awape iyo elimu kwanza ndiyo awaachie wenyeww kuchagua?

na kwanini sio mimi kama mzazi nimpe ninachoona ni sahihi kwanza kutokana na mahitaji ya Dunia ya sasa ayo mengine aje kuchagua mimi nikiwa sijilaumu kusomesha kwa gharama kubwa alafu hakuna maendeleo?
1. Jibu langu lina logic: ukipata elimu bora (ukiwa 'enlightened' utachagua kilicho bora).
2. Kama kuna kuchagua kati ya kuwapa watoto wako elimu bora na bora elimu, wewe ungechagua uwape watoto wako elimu ya aina gani (bora elimu)?
 
Sure
Akikuelewa atabadilika pakubwa... kuna watu ni waajiriwa kwa mishahara ya milioni 50 kwa mwezi tena hapa hapa bongo...

So asi dictate sana mwanae kujiajiri.. awaaachie wanae waamue.... wala hii kujiajiri sio kwamba ndo solution ya kujikwamua kwa watu wote
Sure. Na haiwezekani Kila mtu akajiajili. Studies mbalimbali zinasema wanafunzi (hadi kufikia kuhitimu masomo yao), pamoja na kuwa na hard skills (technical skills), wanahitaji pia 'soft skills'/21st century skills kama vile problem-solving, communication, innovation, digital literacy, interactive skills, critical thinking, employability skills, etc - hizi ni aina ya skills ambazo wanafunzi hawajifunzi darasani, bali katika maisha ya kila siku na mtu mwenye hizi skills ana uwezo wa ku'cope' na situation yoyote katika maisha yake. Hawa ni aina ya watu ambao wanaona fursa mahali ambapo watu wengine hawazioni hizo fursa, Wana uwezo wa kubadilisha mazingira mahali ambapo watu wengine wameshindwa na pia wanaweza kuanzisha biashara mahali ambapo watu wengine wameshindwa kuanzisha biashara na wanaweza kufanikiwa katika maisha mahali ambapo watu wengine hawawezi kufanikiwa - hawa ni aina ya watu wanaoitwa 'effective people's na kama ni viongozi ni 'effective leaders'.
 
Back
Top Bottom