naona siku hzi umekuwa baba ushauriTrue ma sis
ahahaaaaa haleluya mtumishiKaribu nina ngo ya matatizo ya ndoa na ushauri ukitaka kuweka mbegu tuma
a/c no 00000000001
crdb bank afufuliwe branch
ubarikiwe
mkuu siku hizi umeanza kuandika vizuri au unasoma tuition?Kamwe usikumbuke matatizo yaliyopita sababu yanaumiza na usiwaze yajayo sababu yanatia hofu
maisha ni hapo ulipo ,maazimio ni kilele cha maisha bora yajayo,
tazama mbele kwa kujiamini nyuma kwa tahadhari na ulipo kwa matumaini
nakutakia jumanne njema
wasaalam
pdidy
Mkuu tumekupata, ni hatari kutazama nyuma especially kama ulikuwa na series ya maudhi, matatizo, shida, mikosi, kukosa mafanikio, ugomvi, kukataliwa nk. They might pull you back again.